JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Baraza la Habari Kenya lavutiwa na MAIPAC kushirikiana mafunzo kwa wanahabari

Mwandishi wetu, [email protected] Baraza la Habari la Kenya(KMC),limetembelea Ofisi za Taasisi ya wanahabari ya usaidizi wa jamii za pembezoni(MAIPAC) jijini Arusha na kuvutiwa na kazi za Taasisi hiyo na kuahidi kushirikiana kuwajengea uwezo wanahabari juu ya masuala ya mabadiliko ya…

Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma

📌 Awataka wafurukute kuonesha umuhimu wa kadsa yao kwa Taifa 📌 Asema Wizara ya Nishati itashirikiana maafisa hao kusambaza umeme na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia 📌 Rais Samia apongezwa kwa kuongeza ajira za maafisa maendeleo ya jamii…

Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga

📌 REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya…

Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Serikali mkoani Mara imekabidhi hati mbili za shamba la umwagiliaji la Bugwema lililopo katika halmashauri ya Musoma vijijini kwa Tume ya Taifa ya Umwagilaiji. Mashamba hayo ni maalumu kwaajili ya kuanza ujenzi wa miundombinu ya…

CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi

Na Manka Damian , JamhuriMedia ,Mbeya CHAMA cha Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupandisha mshahara kwa watumishi wa umma kwani ameweka historia kwa nchi nahaijawahi kutokea kwani Rais amegusa maisha ya…