JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vijana watakiwa kushiriki kikamilifu katika uhakiki wa Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira, na wenye ulemavu) Ridhiwan Kikwete amewata Vijana kushiriki kikamilifu katika uhakiki wa Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kutoa maoni…

Kapinga atangaza fursa za uwekezaji nishati nchini Saudi Arabia

📌Ashiriki Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini humo 📌 Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutana 📌 JNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umeme 📍Saudi Arabia Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji…

CP Wakulyamba : Serikali itaendelea kukipa thamani Chuo cha Likuyu Sekamaganga

Na Mwandishi Wetu,JamuhuriMedia Namtumbo, Songea Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba amesema Serikali itaendelea kukipa thamani chuo cha Likuyu Sekamaganga kutoa mafunzo ya uhifadhi wa maliasili ya jamii ili kushiriki…

Wanne wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa kopa za milioni 300 mali ya SGR

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaPwani Watu wanne akiwemo Meneja wa Kampuni ya GBL Group, Abdul Huot (56) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mkuranga wakikabiliwa na tuhuma za wizi wa mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo ni kopa zenye…