Category: MCHANGANYIKO
USSI: Wafugaji wachangamkie fursa ya soko la ndani na nje kupitia machinjio ya kisasa Vigwaza
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Wafugaji wa mifugo mbalimbali ,wametakiwa kuchangamkia fursa ya soko la ndani na nje ya nchi kupitia machinjio ya kisasa ya Union Meat Abattoirs Ltd, yaliyopo katika kijiji cha Kwazoka, Vigwaza, Halmashauri ya Chalinze, mkoani Pwani….
Serikali inaendelea na ukarabati wa miundombinu ya umeme -Kapinga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma 📌 Lengo ni kuondokana na changamoto ya kukatika kwa umeme 📌 Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Kilindi, Tanga waffikia asilimia 35. 📌Bilioni 2.63 kulipa fidia wanaopisha njia ya kusafirisha umeme Mkata-…
Lissu kortini kwa mashtaka ya uhaini na kuchapisha taarifa za uongo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa shitaka la uhaini pamoja na kuchapisha taarifa za uongo kwa lengo la kupotosha…
Wataalam watoa dawa za usingizi na ganzi tiba nchini wakutana Arusha
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Chama cha Wataalamu Watoa Dawa za Usingizi na Ganzi Tiba Tanzania ( TANPA) kimekutana mkoani Arusha kwa lengo la kujadili namna ya kuondoa changamoto zilizopo kwa wataalamu hao na kuweza kuboresha utoaji wa huduma katika…
JOWUTA, IFJ na THRDC kutoa mafunzo ya kuripoti uchaguzi mkuu
Mwandishi wetu,Dar es Salaam. Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini(JOWUTA) kwa kushirikiana na shirikisho la kimataifa la waandishi duniani(IFJ) na Mtandao wa watetezi wa haki za binaadamu(THRDC) wanatarajia kuanzia mwezi huu kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari nchini…
Rais Dkt. Samia kuzindua Benki ya Ushirika mkoani Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Bank ya Ushirika Tanzania (CoopBankTanzania), mkoani Dodoma lengo likiwa ni kufufua benki za kijamii zilizofilisika nchini. Akizungumza jana mkoani Dodoma Waziri wa Kilimo Husein Bashe, amesema…





