Category: MCHANGANYIKO
Fisi waharibifu wazidi kudhibitiwa Simiyu, Kongwa
Na Sixmud Begashe, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo…
Poland yaonesha nia kushiriki ujenzi wa SGR
Na Benny Mwaipaja, Warsaw-Poland Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Serikali ya Poland kupitia Shirika lake la Bima (KUKE), kwa kuonesha nia ya kudhamini upatikanaji wa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha 3 na…
Dk Biteko ataka wananchi wapewe majibu ya huduma kwa haraka na haki
* Aipongeza EWURA kwa taarifa yenye mchango muhimu kuimarisha sekta ya nishati Vyombo vya moto vinavyotumia gesi vyaongezeka kufikia 7,000 Mahitaji ya umeme kufikia megawati 8,055 mwaka 2035 Upatikanaji wa mafuta waendelea kuimarika nchini TANESCO yaendelea kuimarika na kupata faida Na…
RUWASA yasikia kilio cha wananchi Kwala, kero ya maji yabaki historia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mradi wa maji wa Kwala,uliogharimu zaidi ya bilioni 1.4 na kutekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) unakwenda kuwa mkombozi kuwaondolea changamoto ya ukosefu wa maji safi wakazi 6,407. Akizindua mradi…
Vitongoji 9000 kusambaziwa umeme mwaka 2025/2026- Kapinga
📌 Majimbo yaendelea kufaidika na mradi wa umeme wa Vitongoji 15. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dadoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara…





