JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Shule ya msingi Mkange yakabiliwa na uchakavu wa majengo ya madarasa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Shule ya Msingi Mkange, iliyopo Chalinze, mkoani Pwani, inakabiliwa na changamoto kubwa ya uchakavu wa miundombinu, ambapo vyumba vya madarasa vitatu vimechakaa na madarasa mawili hayatumiki ili kuepuka hatari kwa wanafunzi. Hali hii ilibainika wakati…

TIC yaeleza mafaniko yake kwa kipindi cha miaka minne

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Gilead Teri amesema Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), imefanikiwa kusajili jumla ya miradi 2,020 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 177.47…

Rais Samia aitaka REA kuupa kipaumbele mkakati wa nishati safi ya kupikia

📌Azindua mradi wa usambazaji nishati safi ya kupikia 📌Sekta binafsi kupewa kipaumbele matumizi ya nishati safi kwa bei nafuu 📌Apongeza ubunifu wa teknolojia za nishati safi ya kupikia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Serikali kuendelea kutunga sera rafiki kuwezesha ushiriki wa sekta binafsi katika nishati safi ya kupikia

📌 Rais Dkt.Samia aitaka Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ataka umeme Vijijini uwe zaidi ya kuwasha taa na kuchaji 📌 Kapinga asema ifikapo 2030 Vitongoji vyote vitakuwa vimefikiwa na umeme Rais wa Jamhuri…