JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ifikapo 2030 korosho zote zitabanguliwa nchini – Bashe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amesema ujenzi wa Kongani ya Viwanda Maranje Newala mkoani Mtwara unalenga kuhakikisha ifikapo 2030, korosho zote zinabanguliwa nchini. Amesema, lengo ni kuhakikisha wakulima hawauzi korosho ghafi nje ya nchi. Bashe…

NSSF yapiga hatua kubwa kiutendaji, yawataka Watanzania kujiunga na mfuko isiyo rasmi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umesema unatarajia kuandikisha wanachama milioni 21 kutoka sekta isiyo rasmi, huku umri wa kuchangia ukiwa ni kuanzia miaka 15 hadi 70 na kiwango kikianzia Sh….

DC Malinyi ahimiza wananchi Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Malinyi MKUU wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba amehamasisha wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kukimbia mbio za kilomita tano. Waryuba aliongoza wananchi na watumishi katika wilaya hiyo kwenye mbio hizo alizozipa jina…

BRELA kuendesha kampeni ya utoaji elimu kuhusu urasimishwaji kwa wafanyabiashara

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Usajili wa Makampuni nchini (BRELA) imelenga kuendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya urasimishwaji. Akizungumza katika maonyesho ya kimataifa ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya sabasaba vilivyoko temeke, Dar es Salaam….

Makusanyo ya TRA yapaa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia,Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kuvuka lengo na kukusanyash.trioni 7.79 , kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha Julai hadi Septemba 2024. Makusanyo hayo yalionyesha mwezi Julai hadi Septemba 2024…

Mbunge Viti Maalum Mariam Nyoka aunga mkono jitihada za Serikali atoa msaada wa mil.2/- zahanati ya Muhepai

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Mariam Madalu Nyoka,  ametoa kiasi cha sh.milioni 2 pamoja na mashuka ya wagonjwa 15 katika zahanati ya kijiji cha Muhepai ililiyopo kata ya kilagano halmashauri ya Songea  vijijini…