JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mnada wa madini ya vito kuzinduliwa Desemba 14 Mirerani, Manyara

▪️Waziri Mavunde kuzindua Mnada Rasmi ▪️Lengo ni kuyaongezea thamani▪️Kudhibiti utoroshaji▪️Kuuzwa kwa bei ya ushidani Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara WAZIRI wa Madini Mheshimiwa Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mnada wa madini ya vito unaotarajiwa kufanyika katika mji mdogo…

Watoto wawili wa familia moja wabakwa na kuambukizwa virusi vya UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Watoto wawili wa familia moja ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi katika halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wanadaiwa kubakwa na kuambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU) na baba yao wa kufikia. Victor Nyato…

Mwanafunzi DIT Dar ajirusha ghorofani na kupoteza maisha

Mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (DIT) ameripotiwa kujirusha jana usiku, majira ya saa tano, katika tukio lililowaacha wanafunzi na uongozi wa chuo wakiwa na mshangao na huzuni kubwa. Taarifa za awali zinaeleza kuwa chanzo cha tukio…

Wananchi wapongeza kasi ya Jeshi la Polisi katika kuwashughulikia wahalifu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wananchi wa Kata ya Ihumwa Jijini Dodoma wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa hatua kali zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaofanya uhalifu pamoja na vitendo vya ukatili kwa kuwakamata na kuwafikisha katika vyombo vya sheria kwa wakati. Hayo…

Historia nyingine yaandikwa Mradi wa Imeme wa Julius Nyerere (JNHPP)

📌Dkt.Biteko azindua mradi wa usafirishaji umeme (kV 400) Chalinze-Dodoma na upanuzi wa vituo vya umeme Chalinze na Zuzu 📌Kuwezesha umeme kutoka JNHPP kufika Kanda mbalimbali za Tanzania, Migodi ,Viwanda, Kusini na Mashariki mwa Afrika 📌Asema Tanzania inaongoza Afrika kwa Usambazaji…

Matukio 7,000 ya ukatili yameripotiwa Pwani -RMO Ukio

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Kusirye Ukio, amebainisha kuwa matukio takriban 7,000 ya ukatili yaliripotiwa ndani ya mwaka mmoja mkoani humo. Ukio alitoa taarifa hiyo wakati akizungumza kwenye kikao kilichowajumuisha viongozi wa mkoa, viongozi…