JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TEA kufadhili miradi 113 ya kuboresha miundombinu ya elimu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/25 Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)imepanga kufadhili jumla ya miradi 113 ya kuboresha miundombinu ya elimu katika shule za msingi na Sekondari kwenye maeneo mbalimbali nchini yenye thamani ya sh.bil.11.3….

Watumishi Tume ya Madini wajengewa uwezo matumizi ya mashine za kupima madini ya metali

Katibu Mtendaji awataka kuendelea kuchapa kazi kwa kujituma na uadilifu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo amewataka watumishi wa Tume kufanya kazi kwa kujituma na weledi hasa kwenye usimamizi wa shughuli za…

Warithi wa Mfugale wapambana kortini

*Jaji abariki wosia uliomweka pembeni mke wa ndoa, watoto 15 *Upande wa mlalamikaji washangaa Mahakama kudharau ndoa ya Kikatoliki Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uamuzi wa Mahakama Kuu wa kutotambua cheti cha ndoa ya Kikristo umeacha maswali mengi…

Polisi Rukwa kuwasaka waliofukua kaburi na kuondoka na mwili wa marehemu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linawatafuta watu waliohusika kufukua kaburi la Julius Ladislaus (24) aliyefariki Novemba mwaka jana na kuondoka na mwili wa marehemu. Akizungumza na waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa…