JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mathias Canal achangia mil.5/- kupunguza changamoto zinazoikabili Shule ya Msingi Tutu Iramba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iramba Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Ndg Mathias Canal amechangia jumla ya Shilingi Milioni 5 kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili shule ya Msingi Tutu iliyopo katika Kata ya New Kiomboi, Wilayani Iramba katika…

Dk Kisenge: Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe ni hatari kwa mjamzito

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpa zawadi mwananchi aliyefika katika Taasisi hiyo kwaajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa moyo ikiwa ni muendelezo wa kuadhimisha siku ya moyo duniani inayoadhimishwa kila ifikapo tarehe 29…

Serikali kujenga kongani ya viwanda vya kuchakata mazao mikoa ya kusini

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imesema iwe jua ama mvua itajenga Kongani ya viwanda vya kuchakata mazao ya mikoa ya kusini kwa gharama ya zaidi ya sh. Bilioni 300. Akizungumza katika mwendelezo wa ziara yake mkoani Mtwara Waziri wa Kilimo Mhe….

Nishati safi ya kupikia italeta mageuzi makubwa ulindaji wa mazingira – Mahundi

📌Asema hekta 469,000 za misitu zinateketea kwa shughuli za binadamu 📌Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia si anasa Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Maryprisca Mahundi amesema nchi inakwenda kushuhudia mageuzi makubwa ya utunzaji wa mazingira kupitia Mkakati…

JKCI yaanza kutoa huduma ya upimaji wa magonjwa ya moyo bure Geita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza mpango muhimu wa kutoa huduma ya upimaji wa magonjwa ya moyo bure mkoani Geita, unaolenga wakazi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kambi hiyo ya uchunguzi wa magonjwa…

REA kushiriki Samia Kilimo biashara Expo 2024 Morogoro

📌Ajenda ya Nishati ya Kupikia imepewa kipaumbele Wakala wa Nishati Vijijini (REA) itashiriki katika Maonesho ya Samia KILIMO Biashara Expo 2024 kwa msimu wa tatu yanayotarajiwa kuanza tarehe 6 Oktoba, 2024 wilaya ya Gairo Mkoani Morogoro. Akizungumza katika kikao hicho,…