JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kuhifadhi mbegu za uzazi Sh milioni moja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KITUO cha kupandikiza mimba cha Dk Samia Suluhu Hassan katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dar es Salaam kimesema mtu anayehitaji kupata mtoto anaweza kuhifadhi mbegu za uzazi kwa gharama ya Sh milioni…

Rais Samia azindua Kitabu cha Sokoine

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Familia ya hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere…

Bashe atuma salamu kwa wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima wa korosho Mtwara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema hata sita kuendelea kuwafutia leseni wafanyabiashara wakubwa na wadogo wanaotumika na waleta janja janja katika ununuzi wa korosho na kunyonya wakulima. Amesema hatua ya Serikali kuwapa kipaumbele wafanyabiashara wa…

Utekelezaji miradi ya maendeleo uzingatie vipaumbele vya wananchi – Kapinga

📌 Asema wananchi wana wajibu wa kufuatilia utekelezaji wa miradi kwenye maeneo yao 📌 Aeleza umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi katika kuleta maendeleo Naibu Waziri wa Nishati na Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Judith Kapinga amesema…

Mayele afunguka kurudi tena Yanga

Na Isri Mohamed Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele amesema kama itatokea akarudi kucheza kwenye Ligi Kuu ya Tanzania basi atarudi klabu ya Yanga kwani ndio nyumbani licha ya maneno maneno yaliyotokea hapo nyuma baada ya kuondoka kwake….