JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAKUKURU yatoa uzoefu kimataifa

Na Aziza Nangwa Mkurugenzi mlMkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),Crispin Chalamila ,ametoa uzoefu wa namna ambavyo mfumo wa sheria na kitaasisi nchini Tanzania unaowezesha mapambano dhidi ya rushwa kufanikiwa. Mkurugenzi huyo ameyasema hayo, wakati akiwasilisha mada…

JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo

ยท Yaadhimisha siku ya moyo duniani kwa kufanya upasuaji Zambia ยท Yaelekea Geita kufanya uchunguzi wa moyo bure maonyesho ya madini Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeendelea kushangaza mataifa mbalimbali kwa…

Waziri Ridhiwani aongoza kampeni ya kukabiliana na afya ya akili

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete ameongoza ameongoza maadhimisho ya kampeni juu ya kukabiliana na changamoto ya afya ya akili. Shughuli za maadhimisho hayo…

Wakati umefika wa Afrika kubadilika kwa kutumia nishati safi ya kupikia – Rais Samia

๐Ÿ“Œ Asema Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia inalenga zaidi Wanawake Afrika ๐Ÿ“Œ Atilia mkazo Taasisi zinazolisha Watu kuanzia 100 kutumia Nishati Safi ya Kupikia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Namtumbo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia…