Category: MCHANGANYIKO
CCM yampa Peter Msigwa jukumu la kupigania ushindi Kanda ya Ziwa
Na Mwandishi Wetu Mchungaji Peter Msigwa, ambaye awali alihusishwa na tetesi za kurejea chama chake cha awali, Chadema, amepewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) jukumu muhimu la kupigania ushindi wa chama hicho katika Kanda ya Nyasa. Akihutubia maelfu ya wanachama…
Akiba Commercial Bank Plc yaweka tabasamu Kituo cha Kulea Watoto- Chakuwama Sinza
Na Magrethy Katengu-Jamhuri MediaDar es Salaam Akiba Commercial Bank Plc imeguswa kuendelea kuunga Mkono jamii kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika kituo cha kuelelea Watoto Yatima kilichopo Sinza Dar es salaam. Amebainisha hayo Machi 28,2025 Dar es salaam Bi…
Mara waridhishwa utekelezaji miradi ya REA
📌 Wamshukuru Rais Samia kwa kupunguza gharama za umeme 📌 Elimu kuhusu matumizi bora ya nishati yatolewa 📌 Watakiwa kuchangamkia fursa ya kuunganisha umeme Wananchi mkoani Mara wamesisitiza kuridhishwa na utekelezaji miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inayotekelezwa nchini…
Balozi Meja Jenerali Ibuge afunga za Uongozi Waandamizi wa Amani na Makamanda Wanawake JWTZ Dar
Na Magrethy Katengu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC), Balozi Meja Jenerali Wilbert Ibuge amefunga kozi ya Kuwaendeleza Makamanda Wanawake wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kozi ya Uongozi kwa viongozi waandamizi wa…
Serikali: Faida itokanayo na uwekezaji ifikie zaidi ya asilimia 10
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI inataka faida itokanayo na uwekezaji ‘return on investment’ katika kampuni ambazo serikali inaumiliki wa hisa chache kuongezeka kutoka asilimia saba ya sasa hadi kufikia zaidi ya 10 mwaka ujao wa fedha. Dhamira hiyo ilielezwa…





