Category: MCHANGANYIKO
RC Ruvuma: Kuna ongezeko la watoto wa mitaani
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahamed Abbas Ahamed amesema kuwa mkoa huo unakabiliwa na changamoto ya watoto wanaoishi na kufanyakazi za mitaani hususani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea jambo ambalo linapelekea kuwa katika…
FCS, Stanbic wakubaliana kuwainua kiuchumi wajasiriamali wanawake, vijana
Na Mwandishi Wetu, JakmhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la The Foundation For Civil Society (FCS) limeingia makubaliano ya miaka miwili na Benki ya Stanbic Tanzania kupitia kupitia kitengo cha Stanbic biashara incubator unaolenga kuwainua wajasiriamali wanawake na vijana kwa kuwajengea…
Mbunge Mavunde akabidhi mradi wa shamba kwa wanawake wafanyabiashara wadogo Dodoma
▪️Mradi wa shamba la zabibu walenga kuwainua wafanyabiashara ▪️Wakinamama wampongeza kwa kuwainua kiuchumi ▪️Awatafutia soko la uhakika wa mazao yao ▪️Rais Samia apongezwa kwa miundombinu rafiki ya biashara kwenye masoko 📍Mpunguzi,Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde…
NIRC yasaini mkataba wa Bilioni 17 ukarabati Skimu za Umwagiliaji bonde la Mto wa Mbu Arusha
📌NIRC, Monduli SERIKALI ya Awamu ya Sita ,kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini Mkataba Wa kukarabati skimu zilizopo katika bonde la Mto wa Mbu Wilayani Monduli, kwa gharama ya shilingi bilioni 17 Mradi huo unajumuisha ukarabati wa mifereji…
Dk Biteko ateta na Jumuiya ya wasambazaji wa mitungi ya gesi nchini
📌Awashukuru kwa mchango wao utekelezaji Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ataka LPG ipatikane kwa wingi hadi ngazi ya Vijiji 📌 Ahimiza Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji LPG Afrika Mashariki 📌 Tanzania yaendelea kupigiwa mfano Kimataifa matumizi ya Nishati…
Mhandisi Bwire: Tunairudisha DAWASA kwa wananchi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAIMU Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amesema wanakusudia kurejesha Mamlaka hiyo kwa wananchi ili kutoa fursa na na nafasi ya kufikisha…