JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watumiaji wa mtandao wa Airtel kunufaika na huduma mpya

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya mtandao wa mawasiliano nchini ya Airtel imezindua rasmi kampeni mpya ambayo itawanufaisha watumiaji wa mtandao huo hapa nchini. Kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Jiboost’ imezinduliwa rasmi leo hii katika makao makuu ya…

Mikoa, Halmashauri zaagizwa kushiriki maonesho ya viwanda

📌 Dkt. Biteko awataka Wazalishaji kutumia Fursa ya Umeme Kuzalisha 📌 Aagiza kudhibitiwa njia za Magendo 📌 Ataka Maonesho ya Biashara kuleta Mapinduzi ya Viwanda na Biashara Nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…

Wenye sifa na miaka 21 wajitokeze uchaguzi Serikali za Mitaa – Dk Shemwelekwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, ametoa wito kwa wananchi wenye umri wa kuanzia miaka 21 kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi za Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa na wajumbe…

Hakimu, wakili wa Serikali wakerwa wakili Chuwa kuchelesha kesi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam Aaron Lyamuya, ameelezea kukerwa na tabia ya wakili wa utetezi kwenye kesi ya jinai, Edward Chuwa kutaka kesi iahirishwe mara kwa…