Category: MCHANGANYIKO
Samia atoa miezi mitatu mradi wa maji Mchangombole Madaba kukamiika Songea
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia, Songea Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan metoa miezi mitatu kwa wakala wa Maji Vijiji (RUWASA) kukamilisha mradi wa maji wa Mchangombole uliopo Halmashauri ya Madaba wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma na amewataka…
JKCI kutanua huduma za matibabu ya moyo nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kupeleka huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo katika maeneo mbalimbali nchini kwa kufungua kliniki za matibabu kuwapunguzia wagonjwa adha ya kufuata huduma hizo Dar…
Rais Dkt. Samia atoa miezi mitatu Mradi wa Maji Mtyangimbole uanze kufanya kazi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa miezi mitatu kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na watendaji wake kuhakikisha mradi wa maji wa Mtyangimbole unaanza kufanya kazi. Rais…
Watano kizimbani wakijifanya wakala wa kampuni za simu na kuibia watu Dar
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu watano wamepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na mashtaka 23 likiwemo la kuongoza genge la uhalifu na wizi wa fedha kiasi cha Sh 3,600,000. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Wangina…
Mwangesi: Hauwezi kuwa mwangalizi wa maadili ya watu wengine kama wewe huna maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Rai imetolewa kwa Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na weledi wa hali ya juu wanapotekeleza majukumu yao. Rai hiyo imetolewa na Kamshina wa…
Tumeridhia matapeli wa kiroho waliangamize taifa
Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwapo ongezeko la mitume na manabii wa uongo barani Afrika, hususan Tanzania, wanaohubiri mafanikio ya haraka kupitia miujiza, utajiri wa ghafla na baraka za kiroho zinazotokana na vitu…