Category: MCHANGANYIKO
Maambukizi ya VVU yapungua nchini – Mhagama
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kupungua kwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU )nchini Tanzania kutoka asilimia 7 mwaka 2003 /2004 hadi asilimia 4.4 mwaka 2022/2023 na kiwango cha maambukizi ya VVU kutoka kwa mama…
Kambi Tiba ya Madaktari wa Tanzania Comoro yaanza kwa kishindo
Na Mwandishi Wetu, Comoro KAMBI Tiba ya Madaktari Bingwa kutoka Tanzania nchini Comoro imeanza kwa mwitikio mkubwa wa wananchi wa nchini humo ambapo mamia wamejitokeza kupata huduma mbali mbali zinazotolewa kwa ushirikiano na madakatari wazawa katika Kisiwa cha Ngazidja. Madaktari…
Dkt. Mpango aipongeza Benki ya CRDB kuzindua Hatifungani ya ‘Samia Infrastructure Bond’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdory Mpango ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuzindua Hatifungani ya Samia Infrastructure Bond inayolenga kukusanya Shilingi bilioni 150 kwa ajili ya ujenzi…
FCC yapania kukuza ushindani wa biashara kwa haki
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMediaDar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imedhamiria kutoa elimu kwa Watanzania juu ya namna nzuri ya kufanya biashara bila kudidimiza sera na taratibu za ushindani za ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Akizungumza leo Jijini…
ACT Wazalendo wayakataa matokeo ya Uchaguzi wa serikali za mitaa
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es salaam SIKU chache baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji nchini , Uongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo umeibuka kupinga matokeo hayo na kuwataka viongozi wao katika ngazi hizo wasitoe…
Watoto wa kike 184 waokolewa na Polisi matukio ya ukatili
Na Mwandishi Jeshi la Polisi, Dodoma. Jeshi la Polisi Nchini limesema Katika kushiriki Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia kwa mwaka 2024 litashirikiana na Wadau mbalimbali kufanya Maadhimisho hayo katika Kanda Maalum ya Kipolisi Tarime Rorya ambapo…