JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanawake wa jamii ya Kihadzabe wapaza sauti Siku ya Wanawake duniani

Na Maipac Team- [email protected] Wanawake wa Jamii ya wahadzabe wanaoishi katika eneo la Eyasi wilayani Karatu Mkoani Arusha wamepaza sauti katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa kumuomba Rais Samia Suluhu asikilize kilio chao. Wakizungumza katika mdalaho wa siku…

Mhandisi Sanga akemea tabia ya baadhi ya makabila kusema ardhi ni mali yao

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mhandisi Anthony Sanga amekemea tabia ya baadhi ya watu kuita ardhi ya eneo fulani ni mali ya kabila fulani na badala yake amewakumbusha kuwa sera ya ardhi inatamka kuwa mali…

Dk Mwinyi azihamasisha nchi za EAC kuanzisha mifuko ya maendeleo ya petroli

📌 Asema lengo ni kuwa na uhakika wa kuendeleza Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia 📌 Afunga Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Afrika Mashariki 📌 Ataka Rasilimali na Mafuta na Gesi Asilia kuchangia maendeleo ya Sekta nyingine Rais wa…

Nishati safi yarahisisha zoezi la uchomaji nyama

Wafanyabishara wa nyama choma Jijini Arusha wamesema kuwa uchomaji nyama kwa kutumia majiko ya Nishati Safi ya kupikia kumerahisisha zoezi la uchomaji na kuongeza ladha ya nyama. Wamesema kuwa majiko hao yamekuwa yakichoma kiasi kikubwa cha nyama kwa Muda Mfupi…

EWURA: Utafiti unaonesha endapo gesi asilia itatumika kwenye usafiri wa umma gharama za maisha zitapungua

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UTAFITI uliofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) umeonesha kuwa endapo gesi asilia itatumika kwa kiasi kikubwa kwenye usafiri na usafirishaji gharama za maisha zitapungua. Hayo yameelezwa na…

Utafiti: Gesi asilia ikitumika kwenye usafiri wa umma gharama za maisha zitapungua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam UTAFITI uliofanywa hivi karibuni umeonesha kuwa endapo gesi asilia itatumika kwa kiasi kikubwa kwenye usafiri na usafirishaji gharama za maisha zitapungua. Hayo yameelezwa kwenye ripoti ya Utafiti huo uliofanywa na Dkt. Achilana Mtingele…