Category: MCHANGANYIKO
Dk Jingu awataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi na kulinda amani ya nchi
Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amewataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali ili kujiajiri na kuajiri wengine na kudumisha umoja, utulivu na amani kwa…
Serikali ombi la DAR – PC, yaongeza muda wa kujisajili kwa waandishi wa habari nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeongeza muda wa kujisali baada ya Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DAR – PC) kuiomba Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari nchini kuongeza muda wa usajili…
Tanzania, Urusi kuimarisha sekta ya nishati
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA SEKTA YA NISHATI 📌 Dkt. Biteko awakaribisha Warusi kuwekeza katika nishati safi ya kupikia 📌 Urusi kuisaidia Tanzania katika afya, usalama mtandao na ulinzi wa miundombinu 📌 Kampuni kubwa ya nishati duniani INTER RAO Export yaonesha…





