JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko kuzindua teknolojia ya kuondoa uvimbe bila upasuaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu, Dotto Biteko anatarajiwa kuzindua teknolojia mpya ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji inayofahamika kama High-Intensity Focused Ultrasound (HIFU). Uzinduzi wa teknolojia hiyo utafanyika tarehe 26 mwezi huu kwenye hospitali ya…

TANROADS Ruvuma yaahidi kukamilisha haraka ujenzi wa daraja Mitomoni, bil. 9.2 kutumika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma,imeanza ujenzi wa daraja la Mitomoni katika Mto Ruvuma lenye urefu wa mita 45 ambalo litaunganisha Wilaya ya Nyasa na Songea. Meneja wa TANROADS mkoani Ruvuma Mhandisi Saleh…

Wakulima Ruvuma watakiwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima Mkoani Ruvuma,wametakiwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti na wataalamu ili waweze kupata mazao mengi na bora na kupata soko la uhakika, badala ya kutumia mbegu zinazouzwa mitaani. Wito huo umetolewa na Mtafiti kutoka kituo cha…

Soko la Mdini Mirerani lianze kufanya kazi ifikapo Septemba 15 – Sendiga

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amemuagiza mkandarasi aliyejenga soko la madini ya vito Tanzanite Trading centre mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro kukamilisha mradi huo ifikapo Septemba 15, Mwaka huu ili liweze kutoa…

Yusufu Rai ajitosa ubunge Jimbo la Temeke kwa tiketi ya AAFP

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama Cha Wakulima (AAFP) Yusuph Rai amesema kuwa endapo wananchi watampa dhamana ya kuwa Mbunge atahakikisha Jimbo hilo linapiga hatua kubwa kimaendeleo tofauti na Majimbo mengine yaliyopo…

Timu ya wataalamu kutoka SADC watembelea TMA kukagua na kukabidhi vifaa vya hali ya hewa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika “SADC Climate Service Centre- (SADC CSC) wanaoratibu utekelezaji wa mradi wa SADC…