JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bangi, skanka na mdpv mtegoni 2024; lukuvi asema mavazi , nyimbo za kiharamu kudhibitiwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema imepiga hatua katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kwa mwaka 2024, huku ikitoa onyo kali kwa wasanii wanaotumia majukwaa yao kuhamasisha matumizi ya mihadarati kupitia maudhui ya nyimbo na mitindo ya…

Mpango wa kijiolojia Afrika na Ulaya kuzinduliwa Juni 24 jijini Dar es Salaam

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mpango wa jiolojia PanAfGeo unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, unatarajiwa kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam, Tanzania Juni 24 mwaka huu 2025. Tukio hili muhimu linafuatia miaka minane ya utekelezaji na awamu mbili…

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini ahimiza ubunifu, weledi kwa watumishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayohitimishwa leo katika viwanja vya…

Watalii wafurika Hifadhi ya Serengeti kushuhudia uhamaji wa nyumbu kwenda Kenya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serengeti NI mafuriko ya watalii. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ukifika katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti husuan eneo la Seronera. Hoteli zote zimejaa wageni. Magari ya kubeba watalii hazina idadi. Ni mwendo wa ndege kutua na…

Mdemu awataka wanawake kupeana sapoti na kushikamana katika fursa zinazotolewa na Serikali Na WMJJWM – Iringa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu, ametoa wito kwa wanawake nchini kupendana, kushikamana, na…

Leseni za madini sasa kutolewa kwa uwazi na ufanisi zaidi

Mwasandende asifu juhudi za Tume ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Bwana Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia…