JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yavuna bilioni 183 masoko ya madini

• Ni mwaka wa fedha 2023/2024• Masoko ya madini yafikia 43, vituo 109• Wanolewa matumizi sahihi ya XRF WAKATI masoko ya madini yakifikia 43, mchango wa masoko hayo umeongezeka kutoka Shilingi Bilioni 8 mwaka 2018/ 2019 hadi Shilingi Bilioni 183…

Balozi Nchimbi awasili Namibia msibani kwa Sam Nujoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi,…

Hafla ya uzinduzi usambazaji mitungi ya gesi

Matukio mbalimbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji mitungi ya gesi ya kupikia na majiko banifu kwa bei ya ruzuku inayofanyika leo Februari 27, 2025 mkoani Tanga. Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt….

Wanawake tunapopata fursa tusimame na tutende haki – Mkurugenzi Ununuzi Nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Ununuzi Wizara ya Nishati, Bi. Marieta Kiago ametoa rai kwa Wanawake hususan vijana kuwa wanapopata nafasi za kufanyakazi kwenye maeneo na Taasisi mbalimbali kuhakikishawanasimama imara na kuitenda haki kwa wananchi. Bi….

TANROADS : Barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani ina kilomita 256 na Daraja la Mto Pangani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta amesema barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani na Tanga iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Samia Suluhu Hassan ina jumla wa kilomita 256 ikiwa ni pamoja na Daraja…

Aliyemuua mkewe kwa kumchoma moto kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa kunyongwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa mfanyabiashara Khamis Luwonga baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa….