Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia atunukiwa Tuzo ya heshima kutambua mchango wake katika mapambano dhidi ya majanga
Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media,Dodoma Wakati zaidi ya watu milioni 83 duniani wakilazimika kuhama makazi yao kutokana na majanga ya asili, migogoro, na kuyumba kwa uchumi, Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuenzi mashujaa wa misaada ya kibinadamu ambapo safari hii…
Umeme jua kuchochea uchumi maeneo ya vijijini
๐Kaya 1,227 kunufaika na mradi wa Umeme Jua Lindi ๐REA kusambaza Majiko Banifu 5,576 Lindi ๐Kila wilaya kugawiwa Majiko Banifu 1,115 ๐Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa…
Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama
๐ Azitaka Wizara na Taasisi kutenga Bajeti kusimamia utekelezaji wa Mpango huo ๐ Awataka Wanawake kupambana katika maeneo waliyopo ๐ Awashukuru wadau wa maendeleo uandaaji wa Mpango huo Na WMJJWM- Dar Es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…
Wazazi acheni kuwaita watoto majina mabaya
Na Salma Lusangi WMJJWW Wazazi na Walezi wameshauriwa kuacha tabia ya kuwaita watoto majina mabaya au kumtusi matusi yasiyostahili pale ambapo mtoto amekosea kwani tabia hiyo inamuathiri kihisia na kupelekea athari katika mambo mengi ikiwemo ufahamu mdogo katika masomo yake….
WorldVeg kuimarisha utafiti na mafunzo ya mbegu bora kwa kilimo endelevu kusini mwa Afrika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika (WorldVeg) iliyopo Tengeru mkoani Arusha, imesema itahakikisha kilimo kinakuwa na tija kubwa zaidi kwa wakulima wa Tanzania…
ZEC : Kura ya mapema ipo kama kawaida
Na Haji Mtumwa, JamhuriMedia, Zanzibar TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi kuwa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar utafanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, huku ikisisitizaa kura ya mapemaa ipo kama kawaida. Tangazo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji…