Category: MCHANGANYIKO
Law School itafsiri mabadiliko kama kengele
Na Deodatus Balile ,JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefanya marekebisho katika sheria mbalimbali, ikiwamo Sheria ya Shule ya Sheria Sura ya 425. Yamefanyika mabadiliko kadhaa katika sheria hiyo, ila yaliyoigusa jamii ni…
Mchengerwa: DART fanyeni mchakato haraka kuondoa adha ya usafiri
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam Waziri Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mohamed Mchengerwa amewataka Watendaji wa mabasi yaendayo haraka DART kuhakikisha wanafanya mchakato wa haraka kupunguza changamoto ya usafiri inayosababishwa na uhaba wa mabasi hayo . Agizo…
Serikali imelitambua deni la Kiwira Coal Mine la bilioni 1.52
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Madini Dkt.Steven Kiruswa amesema Serikali imelitambua deni la Shilingi Bilioni 1.52 lililotokana na mapunjo ya mafao kutoka kwa waliokuwa wafanyakazi na madeni ya Wazabuni wa Mgodi wa Kiwira Coal Mine kabla ya…