Category: MCHANGANYIKO
Kwenye uchaguzi wa BAVICHA rushwa ilikuwepo -Wakili Mahinyila
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Baraza la vijana la chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) taifa, Wakili Deogratius Mahinyila, amekiri kuwa uchaguzi wa baraza lao ulitawaliwa na rushwa. Wakili Mahinyila ameyasema hayo wakati akitoa wito kwa…
UNCDF yataka jamii kuelimishwa zaidi matumizi ya nishati safi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Mitaji na Uwekezaji (UNCDF Tanzania) kwa kushirikiana na wadau wa Nishati Safi limetaka kuendelea kutolewa elimu ya matumizi ya nishati safi kwa jamii, ili kupunguza athari mbalimbali ikiwemo ukataji miti unaosababisha uharibifu wa mazingira….
NCC yahimiza ujenzi wa majengo salama na yanayozingatia afya ya watumiaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) linaendesha zoezi la kufanya mapitio ya rasimu ya kanuni za majenzi (Building Codes) na maoni yaliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) kuhusu kanuni hizo. Zoezi hili la wiki mbili…
Serikali kuanzisha mfuko wa nishati safi ya kupikia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali inaendelea na ukamilishaji wa taratibu za kuanzisha Mfuko wa Nishati safi ya kupikia ili kuweka ruzuku itakayowawezesha wananchi wa kipato cha chini kumudu bei ya gesi. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…
Rais Azali: Comoro kushirikiana na Tanzania katika sekta ya kimkakati
Na Mwandishi Wetu Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Visiwa vya Comoro Mheshimiwa Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazumgumzo na Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro Mheshimiwa Azali Assoumani tarehe 16 Januari, 2025, Ikulumjini Moroni. …
NMB yawa Taasisi ya Kwanza ya Kitanzania kutambuliwa kama Mwajiri Kinara na Top Employers
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya NMB imekuwa Taasisi ya Kwanza ya Kitanzania kupata ithibati ya kuwa Mwajiri Kinara Tanzania kwa Mwaka 2025, inayotolewa na taasisi bobevu na mahiri ya masuala ya rasilimali watu ya Top Employers…