Category: MCHANGANYIKO
Askofu Mameo aisifu Afrika kutoa marais wanawake
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Morogoro , Jacob Ole Mameo amewataka wanawake wa Umoja wa Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) kutumia nguvu waliyonayo kukemea wanaobeza jitihada zinazofanywa na baadhi ya wanawake walio katika nyadhifa…
Wanawake jamii za asili wakutana Arusha kujadili changamoto zao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Wanawake Jamii za Asili Nchini wanakutana jiji Arusha kujadili changamoto zao ikiwepo athari za mabadiliko ya Tabianchi. Wanawake hao kutoka jamii za wahadzabe, Wamasai, wabarbaigi,wadatoga na waakei wanasema mabadiliko ya tabia nchi yameleta ukame katika maeneo…
Tanzania, China zasisitiza kukuza ushirikiano
Serikali ya Tanzania na China zimesisitiza kuongeza ushirikiano wa kimaendeleo kupitia ziara mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa juu wa pande zote mbili ili kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kidiplomasia ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo, Baba wa Taifa Hayati, Mwl….
Waziri Chana aipa tano TTB kutangaza vivutio vya utalii
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa jitihada za kutangaza vivutio vya utalii nchini huku akisisitiza kuwa hayo ndio maono ya Rais wa Jamhuri…