JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol aliyefutwa kazi akamatwa

RAIS wa Korea Kusini aliyeachishwa kazi Yoon Suk Yeol amekamatwa, kulingana na mamlaka, na kuweka kihistoria nchini humo. Yoon ambaye anachunguzwa kwa uasi ndiye rais wa kwanza aliye madarakani nchini humo kukamatwa. Baadhi ya wachunguzi waliingia katika makazi ya Yoon…

Tanzania, Japan zajidhatiti kusaidia wakulima nchini

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan zimetia saini mkataba wa shilingi bilioni 377 kugharamia utelelezaji wa mradi wa Kilimo na Maendeleo Vijijini (Agriculture and Rural Development Two Step Loan) ambao umekusudiwa kuwanufaisha moja kwa moja wakulima kupitia mikopo midogo midogo.   Mkataba…

Dk Kazungu ateta na balozi wa Tanzania Abu Dhabi

📌 Anadi miradi ya nishati kuvutia wawekezaji kutoka Abu Dhabi 📌 Ashiriki hafla ya ufunguzi wa Wiki ya uendelezaji Nishati Abu Dhabi na utoaji tuzo za umahiri 📌 Balozi wa Tanzania Abu Dhabi awataka watanzania kuchangamkia fursa za ajira Abu…

Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya Siku ya Sheria

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt:Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya sheria kitaifa yanayotarajiwa kufanyika februari 3 katika viwanja vya chinangali mjini Dodoma. Akitoa taarifa…

Jaji Mkuu: Toeni taarifa endapo hamjaridhishwa na huduma za mahakama

Na Mwadishi Wetu JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewahimiza wananchi wanaopata huduma katika mahakama mbalimbali nchini kutoa taarifa endapo hawajaridhishwa na huduma walizopewa. Akizungumza leo Januari 14, 2025, katika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Kifamilia kilichopo Temeke, Dar…