Category: MCHANGANYIKO
CUF yawasihi wanachama wake kukipa kura ya ndio ili kitekeleza mimakati ya haki sawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Chama cha Wananchi (CUF) kimefanya uzinduzi wa kampeni zake kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Uzinduzi huo ulifanyikajana Vovemba 2w, 2024 katika mtaa wa Magomeni viwanja vya Soko Bati, Manispaa…
Majaliwa : Tutaendelea kushirikiana na wadau katika kuimarisha sekta ya afya nchini
Na WAF – Dar es Salaam Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Jamhruri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zitaendelea kushirikiana na wadau pamoja na taasisi zote za…
Naibu Spika Mgeni: Ni lazima kujenga viwanda vitakavyoongeza thamani ya madini
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam IMEELEZWA kuwa ili Tanzania iweze kukufikia azma ya kuwa kitovu cha madini barani Afrika ni lazima kujenga viwanda vitakavyoongeza thamani ya madini. Hayo yameelezwa leo na Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,…
Rais Samia atoa bilioni 24 kutekeleza miradi ya maendeleo Namtumbo
📌 Miradi ya kilimo, afya, elimu, imeme na maji yaguswa 📌 Kapinga asema maendeleo yaliyofanyika yanaonekana wazi; hayahitaji tochi 📌 Aeleza jinsi Ilani ya CCM ilivyotekelezwa kwa mafanikio kupitia usambazaji umeme vijijini 📌 Azindua kampeni za uchaguzi wa Serikali za…
Rais Mwinyi awasili uwanja wa ndege wa kimataifa akitokea Zimbambwe
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimia na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdalla na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana…
NLD wazindua rasmi kampeni Handeni, Doyo atoa wito kufanya siasa za kistarabu
Na Oscar Assenga,Handeni Katibu Mkuu wa Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo amezindua rasmi kampeni za wagombea wa chama hicho kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kata ya Kwedukwazu wilayani Handeni huku akitoa wito kwa viongozi wa chama hicho…