JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

MAIPAC yagawa bure Majiko ya gesi Monduli, Lowassa apongeza

Na Mwandishi Wetu, Monduli. Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia jamii za Asili (MAIPAC) imezindua mpango wa ugawaji bure majiko ya gesi kwa jamii za Asili ili ziweze kutumia nishati safi na salama na kupunguza natumizi ya kuni. Mpango huo uliozunduliwa…

Watanzania walioko Israel, Iran kurejeshwa nyumbani, waanza kujiandikisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema inafanya jitihada za kuwarejesha nyumbani Watanzania wote waliopo Israel na Iran ili kuwaepusha na mashambulio yanayoendelea baina ya mataifa hayo mawili ya Mashariki ya Kati. Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya…

Watu 259 wapata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Watu 259 wamepata huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya moyo inayotolewa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi ya Umma yanayofanyika kwenye Viwanja vya Chinangali Park jijini…

JKCI yaelezea teknolojia inazozitumia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo

Na Jeremiah Ombelo Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeelezea inavyotumia teknolojia ya tiba mtandao (Telehealth) katika kuboresha huduma za afya inazozitoa kumsaidia mgonjwa kuwasiliana na daktari popote alipo. Hayo yameeleza na Mkurugenzi wa Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya…

Dk Jingu awataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi na kulinda amani ya nchi

Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amewataka vijana kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali ili kujiajiri na kuajiri wengine na kudumisha umoja, utulivu na amani kwa…