JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Viwango vya udumavu na ukodevu vimepungua nchini – Majaliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano nchini kimeshuka kutoka asilimia 48 mwaka 1992 hadi asilimia 30 mwaka 2022.  Ameongeza kuwa, kiwango cha ukondefu miongoni mwa watoto walio…

Samia: Nilishuhudia zanahati mbovu inatoa huduma kwa wajawazito

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media-Same Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesimulia namna alivyokwenda Kijiji cha Hedaru wilayani Same ambacho alikuta zahanati mbovu inatoa huduma kwa waja wazito hali iliyomsikitisha. Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia…

Samia atenga bil 1.9/- kununua mitambo kuondoa magugu Mwanga

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia,Mwanga Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameseama serikali imetenga Sh bilioni 1.9 kwa ajili ya ununuzi wa mitambo ya kuondoa magugu maji Ziwa Jipe lililopo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. Rais Samia…

Dodoma yaingia kwenye ramani ya miji salama kupitia CCTV

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amekagua utekelezaji wa Mradi wa kusimika Kamera za usalama (CCTV) katika jiji la Dodoma, mradi unaogharimu shilingi milioni 473 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Mradi…

Kura zote Butinzya tumpigie Dk Samia Dk Biteko

Na Mwandishi Wetu Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Kata ya Butinzya, Wilayani Bukombe kumpigia kura mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)…

Pwani yaendelea kung’ara katika utekelezaji wa mpango wa kupunguza umaskini uliokithiri

Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkoa wa Pwani umeendelea kuwa mfano wa mafanikio katika utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kupunguza umasikini uliokithiri na kuboresha maisha ya wananchi wa kipato cha chini….