Category: MCHANGANYIKO
Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi
Watoto mapacha wawili Danford Steven Seif (24) na Daniel Steven Seif (24) wanadaiwa kumuua mama yao Upendo Mathew Mayaya (42) kwa sababu ya imani za kishirikina. Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limethibitisha kuwakamata na kuwafikisha mahakamani mapacha hao ambao wote…
Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha
Na Mwandishi Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kimesema kuwa baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule (School Bus) kwa kipindi cha likizo ambacho kilitangazwa ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi wanaotumia vyombo…
Bilioni 5 kujenga soko la kimataifa Missenyi
Na Egbart Rwegasira, JamhuriMedia, Missenyi Halmashauri ya Wilaya Missenyi mkoani Kagera iko kwenye hatua za mwisho kuanza ujenzi wa soko kubwa litakalounganisha wafanyabiashara wa Afrika Mashariki katika Eneo la Bunazi Kibaoni. Akiwasilisha taarifa ya upembuzi yakinifu na usanifu wa soko…
Baba atuhumiwa kuua watoto wawili
Na Mwadishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Jeshi la Polisi mkoani Songwe limewakamata watuhumiwa wanne ambao ni Junge Jilatu na wenzake watatu wakazi wa Kijiji cha Namsinde, Kata ya Mkulwe kwa tuhuma za mauaji ya watoto wawili. Taarifa iliyotolewa jana na Kamanda…
-Tanzania ipo tayari kupokea wakuu wa nchi Afrika katika mkutano wa Nishati wa Mision 300′
📌 Aliambia Jukwaa la IRENA UAE kuwa Tanzania imejipanga vema kwa ujio huo. 📌 Asema Tanzania imerekehisha sheria ya uwekezaji kuruhusu sekta binafsi kutekeleza miradi 📌 Nchi wanachama IRENA wataka wabia wa maendeleo kuwekeza kwenye miradi ya nishati ambayo ni…
Matumizi ya Baruti yaongezeka nchini
• Mhandisi Lwamo ataka udhibiti madhubuti kuepusha maafa • Watakiwa kusimamia sheria, sera, kanuni, Na Mwandishi Wetu, JakhutiMedia, Dodoma MATUMIZI ya Baruti nchini yameongezeka kutoka wastani wa tani 3,000 kwa mwaka katika miaka ya 1990 hadi kufikia wastani wa tani…