JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Baraza la saba la wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana Dodoma

📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati. 📌 Baraza lapitisha rasimu ya bajeti ya 2025/2026 . 📌 Hoja za TUGHE zajadiliwa kwa kina na kupatiwa ufumbuzi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo…

Serikali kuendelea kushirikiana na wadau sekta ya misitu

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Njombe Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa Sekta ya Misitu ili kuleta ufanisi na manufaa zaidi katika…

Majaliwa: Tuwapende, tuwajali wanafunzi wenye mahitaji maalum

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wanafunzi wa shule zote nchini kuwatunza, kuwapenda na kuwajali wanafunzi wenzao wenye mahitaji maalum ili nao waweze kutimiza ndoto zao. Amesema Serikali imejenga miundombinu bora ambayo sasa inawawezesha wanafunzi wenye mahitaji maalum kusoma…

Mkuchika atangaza rasmi kutogombea ubunge

Mbunge wa Jimbo la Newala Mjini mkoani Mtwara ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum) Kapteni Mstaafu George Mkuchika ametangaza rasmi kutogombea tena nafasi ya ubunge katika uchuguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Akizungumza wakati…