Category: MCHANGANYIKO
Ni huzuni; mama aua watoto wake wanne kwa kuwanywesha sumu Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Lugubu, Kata ya Lugubu Wilayani Igunga Mkoani Tabora amepoteza maisha na watoto wake wanne baada ya kunywa sumu aina ya ruruka 80WDG itumikayo kuulia viwaji jeshi. Kamanda wa Jeshi…
Viongozi wa Dini Kiteto – Mbunge Lekaita ni tumaini la wananchi wa Kiteto ni kiongozi hodari
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Dodoma Viongozi wa Dini wilayani Kiteto Mkoani Manyara wamempongeza mbunge wa Jimbo hilo Wakili Msomi Edward Ole Lekaita kwa uwajibikaji wake katika kuwaletea Maendeleo wananchi wakem huku wakidai ni mbunge huyo ni Tumaini la wana-kiteto Hayo…
Gugu afungua kituo cha Polisi Namtumbo, ampa tano Rais Samia
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Ally Senga Gugu amefungua kituo cha Polisi Cha Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma chenye hadhi ya Daraja B ambacho kimejengwa kwa thamani ya sh. Milioni 798….