JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi Manispaa ya Kigoma Ujiji waanza kunufaika na Mradi wa Tactic

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma WANANCHI katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameanza kunufaika na mradi wa TACTIC unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo nafuu kutoka Benki ya Dunia. Akielezea mradi huo unavyotekelezwa katika…

Kongamano la kwanza la Kimataifa la Saratani kufanyika Dar

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya madaktari bingwa wa saratani, wataalamu wa tiba mionzi, watafiti na watunga sera kutoka nchi zaidi ya 20 wanatarajiwa kushiriki kongamano la kwanza la kimataifa la saratani litakalofanyika jijini Dar es Salaam…

Dk Kimambo afanya ziara kituo cha tiba kazi na utengamano wa afya ya akili

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Delilah Kimambo leo Agosti 16, 2025 amefanya ziara Kijiji cha Tiba Kazi na Utengamao wa Afya ya Akili (Vikuruti) ambacho ni sehemu ya hospitali hiyo ili kuzungumza na watumishi, kuona utendaji kazi…

TANROADS Ruvuma yaanza ujenzi daraja la Mitomoni litakalowaunganisha Nyasa na Songea

Na Mwandishi Wetu, Songea WIZARA ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS)Mkoa wa Ruvuma, imeanza ujenzi wa daraja la Mitomoni katika Mto Ruvuma lenye urefu wa mita 45 ambalo litaunganisha Wilaya ya Nyasa na Songea. Meneja wa TANROADS Mkoani…

MSD yazidi kuimarisha usambazaji wa dawa nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema inaendelea kuimarisha upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi nchini ambapo kwa kipindi cha miaka minne idadi ya vituo vinavyohudumiwa na MSD imeongezeka kutoka 7,095 mwaka 2021/22 hadi kufikia 8,776 mwaka 2024/25. Idadi hiyo ni…

SELF Microfinance : Huduma za kifedha bado ni eneo linalohitaji kuwekewa mkazo hasa mikopo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa SELF Microfinance, Santieli Yona amesema huduma za kifedha bado ni eneo linalohitaji kuwekewa mkazo hasa katika kutoa elimu kwa jamii. Amesema kuwa mfuko wa SELF Microfinance ni mfuko uliyo…