JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

EWURA yazitaka kampuni za gesi kuongeza mawakala, kudhibiti uchakachuaji wa gesi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za nishati na Maji (EWURA) imezitaka Kampuni za gesi kuongeza idadi ya mawakala wa usambazaji kwenye maeneo mengi ili kuepusha watu kwenda kununua gesi kwa wauzaji wasio rasmi….

Aliyedai kupewa kazi ya kumuua Mpina kortini

Na Mwandishi Wetu, Simiyu Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19) akidaiwa kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii. Taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na Kamanda…

Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi wa rasilimali za umma na kukuza mapato yasiyo…

Viwanda zaidi ya 4000 kushiriki maonyesho ya EXPO 2025

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), limezundua Maonesho ya Kimataifa ya Wazalishaji yajulikanayo kama TIMEXPO 2025 Maonyesho hayo yatafanyika kuanzia tarehe 19 hadi…

Waziri Mkuu: Serikali kuendeleza mabonde nchini

…………………………. Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji na nishati ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na mafuriko. Amesema moja ya mkakati uliochukuliwa na Serikali…

Lissu agoma kesi kusikilizwa kwa mtandao, viongozi CHADEMA wakamatwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kesi ya inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amegoma kusikilizwa kwa njia ya mtandao. Ulinzi mkali umeimarishwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, hususani katika eneo la…