Category: MCHANGANYIKO
Serikaki Kibaha kuunga mkono wawekezaji wa ufugaji nyuki
Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Serikali wilayani Kibaha, mkoani Pwani, imeeleza dhamira yake ya dhati ya kuunga mkono juhudi za wawekezaji katika sekta ya ufugaji nyuki ili kuhakikisha wafugaji wadogo waliopo vijijini wananufaika kiuchumi na kielimu. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu…
Bungeni hakukaliki
*Wabunge wacharuka chama kufanya mabadiliko, uamuzi mzito bila kuwashirikisha *Wawaambia ‘wakubwa’ Makao Makuu: Kama hamtutaki au mmetuchoka mtueleze tujue moja *Spika, ‘Chief Whip’ wakumbwa na hofu kuwapo uwezekano wa bajeti kadhaa kukwama *Rais Samia aingilia kati, azungumza na Dk. Nchimbi…
Maelfu kuendelea kutoa heshima za mwisho kwa Papa Francis
Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, aliyeaga dunia Jumatatu wiki hii akiwa na umri wa miaka 88, baada ya kuugua kwa muda mrefu. Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki dunianiPapa Francis,…
Balozi Nchimbi azungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu Mara
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Mara, kwenye kikao cha ndani kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Mara, leo Jumatano tarehe…
Tanzania yapiga marufuku uingizwaji wa mazao kutoka Malawi na Afrika Kusini
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi utekelezaji wa marufuku ya uingizwaji wa Mazao ya kilimo kutoka nchi za Malawi na Afrika Kusini, ikiwa ni hatua ya kulinda maslahi ya wakulima na wafanyabiashara wa Kitanzania kufuatia uamuzi wa…
Wasira: Viongozi wa dini wametutia nguvu kuendelea na uchaguzi mkuu
Wasira: Viongozi wa dini wametutianguvu kuendelea na uchaguzi mkuu *Asema ushauri wao pamoja na wadau wengine utaendelea kuzingatiwa*Asisitiza kuwa Dk. Samia kwa miaka minne amefanya kazi kubwa*Atoa mwanga jinsi ilani ijayo ya CCM itakavyoleta ahueni kwa wakulima Na Mwandishi Wetu,…