Category: MCHANGANYIKO
Wadau wakutana Arusha kujadili masuala mbalimbali ya nishati
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wadau mbalimbali wa nishati kutoka ndani na nje ya nchi wamekutana mkoani Arusha kwa lengo la kujadili namna bora ya kuboresha sekta hiyo na kuweza kuweka mikakati ya pamoja katika kufikia malengo ya Dira ya…
ACT Wazalendo yaguswa kusitishwa kwa misaada ya afya na Serikali ya Marekani
ACT Wazalendo imeguswa na uamuzi wa Serikali ya Marekani kusitisha kwa muda kwa mikopo na ruzuku za kusaidia huduma za afya Duniani, hatua inayoweza kuathiri mamilioni ya Watanzania waliowekwa kwenye utegemezi wa huduma za afya zinazofadhiliwa na mashirika ya nje….
Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na Burundi sekta ya nishati
📌Burundi yaipongeza Tanzania kwa mafanikio ya nishati 📌Wampongeza Rais Samia kudumisha amani nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na nchi ya Burundi katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo sekta ya nishati….
Lissu, Wassira patachimbika
*Ni kuhusu mabadiliko ya Katiba kuelekea Uchaguzi Mkuu *Lissu asema yuko tayari kukutana na Rais Samia kuzungumzia hilo *Wassira: Bunge linakaribia kuvunjwa, hakuna muda wa mabadiliko *Mzee Kassori akosoa yaliyofanyika Mkutano Mkuu Maalumu CCM Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es…
Watu 17 wauawa Goma na wengine 370 wamejeruhiwa
Mapigano katika mji uliozingirwa wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesababisha vifo vya takriban watu 17 na kuwajeruhi wengine 370. Jeshi la Kongo linaendelea kupambana na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na jeshi la Rwanda. Raia watano…





