JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

AfDB yamsifu Samia nishati safi, umeme

BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa nishati safi ya kupikia Afrika. Pia, AfDB imesifu juhudi za Serikali ya Tanzania kusambaza umeme katika vijiji vyote nchini. Rais wa AfDB, Akinwumi Adesina alitoa…

EAC kujadili mgogoro wa DR Congo

RAIS  wa Kenya William Ruto ametangaza kuwa mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Kanda ya Afrika Mashariki (EAC) utawajumuisha viongozi kutoka Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kujadili hatua za kuchukua katika kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea katika…

Tabora wapongeza kampeni ya msaada wa kisheria

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WANANCHI Mkoani Tabora wamepongeza serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Kampeni ya Huduma za Msaada wa kisheria kwa jamii kwa kuwa inasaidia kutatua kero zao. Wametoa pongezi…

Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa avutiwa na mkakati wa Serikali wa utafiti wa madini nchini

▪️Ampongeza Rais Samia kwa kwa maono ya kukuza sekta ya Madini ▪️Avutiwa na aonesha utayari wa kusaidia VISION 2030 ▪️Apongeza mpango wa serikali wa kuongeza thamani madini mkakati nadani ya nchi 📍Dar es salaam Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa…

Ubalozi wa India nchini waadhimisha miaka 76 ya Jamhuri kwa Taifa la India

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati ambao Tanzania ipo katika wakati wa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano mkuu wa Nishati Afrika ulioanza leo hii jijini Dar es Salaam , Ubalozi wa India nchini umeadhimisha sherehe za 76 za…