JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mawakili wasisitizwa kuishauri Serikali kwa weledi

📌Dkt. Biteko asema Serikali inatambua jitihada za Asasi za Kiraia kuhudumia Wananchi 📌Rais Samia apongezwa kwa mageuzi katika huduma za sheria nchini 📌Wawakili wahimizwa kuwa ‘marafiki’wa Mungu badala ya Mahakama 📌Dkt. Biteko ataja mikakati ya Serikali kuboresha huduma za sheria…

TAMWA, TCRA kutoa tuzo za wanahabari za ‘Samia Kalamu Award’

Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kutoa tuzo za wanahabari zinazofahamika kama ‘Samia Kalamu Award’ zinazolenga kuhamasisha uandishi wa habari za maendeleo unaojikita katika kufanya uchambuzi wa utafiti wa…

Trump: Iran inatufanyia mchezo kuafikiana kuhusu Nyuklia

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa anaamini Iran inachelewesha kwa makusudi kufikiwa kwa makubaliano ya nyuklia, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kuigharimu nchi hiyo kwa kiasi kikubwa, ikiwemo uwezekano wa kushambuliwa kijeshi. Akizungumza na waandishi wa habari nchini Oman…

Chana awaasa wananchi Makete kuacha kuvamia maeneo ya hifadhi

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Makete Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewaasa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete Mkoani Njombe kuacha kuvamia maeneo yaliyohifadhiwa huku akiwataka kuyatumia maeneo hayo katika kujiongezea kipato ili kuwa na…