Category: MCHANGANYIKO
REA yauza majiko 1,500 kwa bei ya ruzuku kwenye maonesho ya Madini Geita
📌REA yapongezwa kwa kuuza majiko kwa bei ya ruzuku na kutoa elimu ya miradi ya wakala Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita yamehitimishwa rasmi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri…
Dk Samia aomba kura kwa wana Pangani
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Pangani katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Tanga tarehe…
Samia aingia Pangani kusaka kura
Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari ameshawasili Pangani kwenye uwanja wa Gombelo mahali ambapo mkutano wa kampeni utafanyika na atawahutubia wana CCM na wananchi waliojitokeza kwa wingi ili kumsikiliza. Rais Dkt. Samia pia…
CCM imetuheshimisha wanawake, UWT tunatafuta kura za kishindo za Dk Samia – Chatanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WENYEVITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amesema UWT inashukuru sana maamuzi yaliyofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya…
Dk Biteko awapa heko wachimbaji wa madini
Mchango wa wachimbaji wadogo wa madini waongezeka kutoka 20% mwaka 2020 hadi 40% mwaka 2024 Teknolojia za kisasa za uchenjuaji madini zatajwa kuwa na tija kuliko matumizi ya zebaki Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya maendeleo ya sekta…
Samia kujenga uwanja wa michezo Msoga
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema atajenga uwanja wa kisasa wa michezo katika eneo la Msoga wilayani Chalinze mkoani Pwani kama atashinda uchaguzi mkuu. Rais Samia ametoa kauli hiyo, leo Septemba 28, 2025 aliposimama kuzungumza…





