Category: MCHANGANYIKO
Mbedule ampa tano Chifu Mkwawa kuanzisha tamasha la Wahehe
MDAU wa Maendeleo Mkoa wa Iringa, Wakili Sosten Mbendule amempongeza Chifu Adam Sapi Mkwawa II kwa kuwaleta pamoja katika kuadhimisha tamasha la utamaduni la Wahehe. Wakili Mbedule amesema tamasha hilo la Wahehe lililoanza Juni 16 na kufikia kilele chake leo…
waendelezaji miradi ya nishati jadidifu watakiwa kuchangamkia fursa za uwezeshwaji kutoka REA
📌Ni kwa miradi inayozalisha chini ya Megawati 10 Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu ametoa wito kwa waendelezaji wa miradi ya nishati jadidifu kote nchini kuchangamkia fursa za uwezeshwaji zinazotolewa na Serikali…
Serikali yaendelea kuwekeza kwa nguvu miundombinu ya usafiri
Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kuwekeza kwa nguvu katika miundombinu ya usafiri kwa lengo la kukuza biashara na kuimarisha ushirikiano wa kikanda kupitia Ukanda wa Kati, huku viongozi wa nchi wanachama wakiahidi kushirikiana kwa karibu ili kuinua maendeleo ya kiuchumi…
Afrika ipewe uhuru wa kuzalisha nishati kwa kutumia raslimali zake – Dk Biteko
*Ahimiza Tanzania na Urusi kuendeleza uhusiano wake wa kuheshimiana *Tanzania kutumia makaa ya mawe kuzalisha umeme wastani wa megawati 120 *Tanzania yapongezwa kwa mafanikio yake sekta ya nishati *Ahimiza mfumo sawa wa uzalishaji nishati kati ya nchi tajiri na masikini…
Wananchi Kata za Moshono, Ol-Oirien washiriki kufanya usafi wa mazingira mto Enchoro e ndia
Happy Lazaro,Arusha, JamhuriMedia, Arusha Wananchi wa Kata za Moshono na Ol-oirien wamejitokeza kwa wingi kuondoa takataka za plastiti katika Mto wa Enchoro e ndia na kingo zake ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Mazingira duniani ambayo Kauli mbiu ya…