JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu, SADC yakumbushwa

Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya…

NGO ziwe mawakala wa mabadiliko chanya – Dk Jingu

Na WMJJWM – Dodoma Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yametakiwa kuwa mawakala wa mabadiliko chanya katika jamii katika utekelezaji wa miradi mbalimbali kwenye jamii. Hayo yamesemwa leo Agosti 12, 2025 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake…

Mwalimu wa CHAUMMA aahidi neema kwa Watanzania

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Ali Mwalimu,ameahidi kama atakuwa Rais wa Tanzania ataleta neema kwa watanzania pamoja na serikali yake kufanya kazi kwa uadilifu na uwajibikaji ili kumletea maendeleo…

Tanzania yaapa kung’ara FEASSA 2025 Kakamega

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Emmanuel Shindika, amewakabidhi bendera ya taifa wanamichezo wa Tanzania watakaoshiriki Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA) 2025, huku akiwaasa kudumisha nidhamu, utulivu na mshikamano kipindi…

Wizara ya Mifugo, IUCN kuanzisha Jukwaa la Kitaifa la Biashara za Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Uasili (IUCN) kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wanatarajia kuanzisha Jukwaa la Kitaifa la Biashara za Uchumi wa Buluu litakalolenga kuongeza thamani ya rasilimali…