Category: MCHANGANYIKO
Tundu Lissu afikishwa mahakamani
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani leo Mei 19, 2025 kwa ajili ya kusubiri kutajwa kwa kesi mbili za jinai zinazomkabili ikiwemo uhaini na kuchapisha taarifa za uongo Lissu anakabiliwa na…
Rais Samia ampongeza Prof. Janabi
Rais Samia Suluhu Hassan, amempongeza Profesa Mohamed Yakub Janabi kwa kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kipindi cha 2025–2030. Kupitia ujumbe wake rasmi, Rais Samia amesema ana imani thabiti kwamba uzoefu wa…
Serikali ipo kazini na inaendelea kufanyakazi – Majaliwa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali ipo kazini na inaendelea kufanyakazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi katika maeneo yote nchini na bila ya ubaguzi wa aina yoyote. Kadhalika, Majaliwa ametoa wito kwa wananchi waendelea kushirikiana katika kudumisha amani…
Waombaji mikopo ya elimu, tafuteni namba za NIDA mapema
Na Dk Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Ni takwa la kisheria kwa waombaji wa mikopo ya elimu kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuwa na namba ya utambulisho (National Identification Number-NIN) au kitambulisho cha uraia kutoka…





