JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kwa heri baba wa Taifa la Namibia

Na Isri Mohamed Ni huzuni, simanzi na majonzi vimetawala katika taifa la Namibia na Afrika nzima kwa ujumla kufuatia kifo cha Baba wa taifa hilo, Samuel Shafiishuna Daniel Nujoma, kilichotokea Februari 08, 2025. Shujaa huyu wa Afrikia ambaye watoto wa…

Polisi Mwanza wawaokoa watoto wawili waliotekwa, watekaji wauawa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Watu wawili wasiofahamika majina yao wamefariki wakati wa majibizano na Polisi baada ya kukutwa na watoto wawili waliowateka na kutaka kupewa mamilioni ya fedha ili waweze kuwaachia watoto hao. Akizungumzia tukio hio Kamanda wa Polisi…

Serikali inatoa kipaumbele kufikisha umeme taasisi zinazotoa huduma kwa jamii – Kapinga

📌 Hadi Januari 2025 taasisi za elimu zilizopatiwa umeme kupitia REA ni 18,597. 📌 Asema Serikali inatoa ruzuku kwa watumiaji wa mwisho wa gesi ya LPG Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali…

Mchengerwa atoa wito kwa waandishi wa habari kupambania tuzo za kitaaluma

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bahi WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Muhammed Mchengerwa ametoa wito kwa waandishi wa habari nchini kujitokeza kupambania tuzo mbalimbali zinazotolewa, kwani ni fursa inayowatambulisha ufanisi kwenye umma na inaimarisha utendaji wa kazi zao. Alitoa…