JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ussi: Ilala yang’ara kwa mradi wa nishati safi ya kupikia katika soko la samaki Feri

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Isimail Ally Ussi, amesema Wilaya ya Ilala imeng’ara kwa mradi wa Nishati safi ya kupikia ya gesi katika soko la Kimataifa la Samaki Feri Wilaya ya Ilala…

Dk Nindi: Tume ya Umwagiliaji ipanue wigo wa huduma nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa kazi zake kwa kuwafikia wadau jumuishi wa sekta nyingine lengo likiwa ni kuhakikisha…

Serikali yaingiza bilioni 17 kwa mchezo kubeti

Michezo ya kubahatisha imeingiza serikalini kiasi cha Sh Bil.17.42 kwa mwaka wa fedha 2024/25, huku ikipanga kukusanya Sh Bil.29.89 kwa mwaka wa fedha 2025/26. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alipokuwa akiwasilisha mapitio ya utekelezaji…

Mchengerwa awafunda walimu

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi. Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa walimu na wadau…

EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya petroli

Na Mwandishi Wetu Bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa mwezi Juni 2025, imeendelea kuleta nafuu kwa watumiaji wa vyombo vya moto, nchini, ikilinganishwa na bei za mwezi Mei 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya…

Raia wa nchi 71 kuingia Tanzania bila Viza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival)…