JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Habari yajivunia kuimarisha upatikanaji habari na kueneza taarifa sahihi kwa wananchi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi, amesema Serikali kupitia Wizara yake imefanikiwa kuimarisha upatikanaji wa habari na kueneza taarifa sahihi kwa wananchi kupitia mikakati mbalimbali iliyotekelezwa ndani ya miaka minne ya Serikali ya Awamu…

Chana aanika mikakati ya uhifadhi kwa wananchi wa Wanging’ombe katika kukabiliana na changamoto ya wanyamapori

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Wanging’ombe Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amefungua rasmi semina ya kuwajengea uwezo wadau wa uhifadhi kuhusu mikakati ya kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu ikiwa ni pamoja na…

Awamu ya pili uboreshaji, uwekaji wazi wa dafatri la wapiga kura kuanza mei

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia tarehe 01 Mei, 2025 na kukamilika tarehe 04 Julai,…

KilupiI: Ataka kura za maoni zisiwagawe wanaCCM

Na Is-haka Omar,Zanzibar Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar  Omar Ibrahim Kilupi,amesema zoezi la kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi lisiwagawe wanachama badala yake wawaunge mkono wagombea watakaopitishwa na vikao vya maamuzi.  Ushauri huo…

Dk Mpango afanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa India

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya India Mhe. Sanjay Seth, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Katika Mazungumzo hayo, Makamu…

Tutaendelea kudhibiti uhalifu wa kifedha – Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema kuwa Tanzania inatambua changamato za uhalifu wa kifedha na imejidhatiti katika kudhibiti hali hiyo kwa viwango vya kimataifa…