Category: MCHANGANYIKO
Maonesho ya ‘Tanzania Dental Expo’ kuleta mapinduzi ya sekta ya afya ya kinywa na meno nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na wadau wa kinywa na meno wamewataka Watanzania na taasisi mbalimbali kujitokeza kwa wingi kushiriki katika maonesho ya huduma ya kinywa na meno…
Serikali inaboresha miundombinu ya umeme Kibiti kuondoa changamoto ya umeme – Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inatekeleza miradi mbalimbali ya matengenezo na ukarabati wa njia za kusafirisha na kusambaza umeme katika Wilaya ya Kibiti ili kuondokana na tatizo la kukatika kwa umeme…
Shule za Tusiime kufundisha program za kompyuta kuanzia shule ya awali
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dar es Salaam KATIKA jitihada za kuendana na mtaala mpya wa elimu uliozinduliwa hivi karibuni na Serikali, unaojumuisha Mahili 11 yanayolenga kuendeleza ujuzi na stadi kwa wanafunzi, shule za Tusiime zimechagua program za Kompyuta kama kipaumbele…
Bejeti ya matumizi, Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia yaomba kuidhinishiwa trilioni 2.4
Ili kuwezesha utekelezaji wa malengo yaliyoanishwa kwa mwaka wa fedha 2025/26, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Taasisi zake imeomba Bunge kuidhinisha makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yenye jumla ya shilingi Trilioni 2.439 Kati…
Wachimbaji Geita wampongeza Rais Samia kwa mafanikio makubwa ya sekta ya madini
▪️Wachimbaji Madini wapongeza upatikanaji wa Leseni na mazingira rafiki ya biashara ▪️Waziri Mavunde aainisha mafanikio 16 ya Rais Samia kwenye sekta ya Madini ▪️Aagiza uanzishwaji wa Soko la Dhahabu Katoro ▪️RC Shigela aja na mikakati mizito ya kupaisha sekta ya…





