JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

BAKWATA yawapiga ‘stop’ wanaharakati kutumia nyumba za ibada kupotosha waumini

Na Jumbe Ismailly, JamhuriMedia, Singida BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida limewaagiza masheikhe wa wilaya pamoja na maimamu wa misikiti wote Mkoani hapa kutoviruhusu vikundi vya Wahadhiri na Wanaharakati kutumia majengo ya ibada kupotosha waumini wao kwamba…

TMDA : Hakuna dawa ya kuongeza makalio

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba nchini (TMDA) imewataka wanawake kuwa makini na kutokubali kudanganywa kuwa kuna dawa ya kuongeza makalio au matiti, huo ni uongo na utapeli. Onyo hilo limetolewa juzi na Mkurugenzi Mkuu…

CRDB yazindua Msimu wa Nne wa Semina ya ‘Instaprenyua’ kwa wajasiriamali wa biashara mtandaoni

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imetangaza rasmi kuanza kwa msimu wa nne wa semina ya ‘Instaprenyua’ jukwaa maalum linalolenga kuwajengea uwezo wajasiriamali wanaoendesha biashara kupitia mitandao ya kijamii. Semina hiyo inatarajiwa kufanyika Jumamosi Julai 26,…

Zaidi ya Trillion 1.44 zawanufaisha wananchi Geita

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Geita umepokea kiasi cha Shilingi trilioni 1.44 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambazo zimetumika kwenye sekta mbalimbali kama afya, elimu, miundombinu, kilimo, maji, nishati, utalii, uwezeshaji wananchi kiuchumi pamoja na miradi mikubwa…

Maendeleo ya viwanda Simiyu, mnyororo wa thamani waanza kulipa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendeleza kwa kasi jitihada za kuijenga Tanzania ya viwanda, huku Mkoa wa Simiyu ukiibuka kama miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa kuwekeza kwenye…