Category: MCHANGANYIKO
Wizara ya Afya Somalia yaichagua Tanzania kupitia MSD kushirikiana kwenye ugavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Afya nchini Somalia imeichagua Tanzania kupitia Bohari ya Dawa (MSD) kushirikiana kwenye masuala mbalimbali yanayohusu mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya kwa kubadilishana uzoefu katika maeneo ya mifumo, ununuzi, usambazaji…
Timu ya wanasheria wa Samia yatoa elimu ya kisheria Mpanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mpanda Timu ya Wataalam ya kampeni ya msaada wa kisheria wa mama Samia Legal Aid (MSLAC) ikiongozwa na Salome Mwakalonge ambaye ni Mratibu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kutoa elimu ya kisheria kwa Wananchi…
NEMC yasajili miradi ya maendeleo 105 Kanda ya Kati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi ya Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Kanda ya Kati imefanikiwa kusajili miradi ya maendeleo 105 na kuipa cheti cha tathmini ya athari kwa mazingira (EIA) katika kipindi cha kuanzia Julai hadi…
Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 warejeshwa soko la Kariakoo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 waliotambuliwa kuwa na sifa za kurejeshwa katika soko la Kariakoo wamejitokeza kuchukua fomu maalum za usajili kwa ajili ya maandalizi ya kuingia kwenye soko hilo kufuatia tangazo la…
Wassira atembelea kaburi la baba wa Taifa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wassira ametembelea kaburi la Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Butiama, leo Februari 3, 2025 akiwa ziarani mkoani Mara ambapo pia amezungumza na wazee wa Butiama.
Mahakama ya Afrika yasema ni wakati wa Bara la Afrika kudai fidia
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Cape Verde, José Maria Neves, amesema nchi za Afrika zinaweza kuongoza mabadiliko ya maisha yao ya baadaye kwa kuondokana na utegemezi wa ukoloni mamboleo kwa kudai fidia iliyotokana na dhuluma za…





