Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia azungumza na wakazi wa Mikumi
Sehemu ya Wakazi wa eneo la Mikumi Kona wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumlaki na kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye yupo ziarani mkoani Morogoro tarehe 4 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya…
Dk Mpango asafiri kwa treni kushiriki Yanga Day
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wakiwasili katika Stesheni ya Treni ya Jijini Dar es Salaam mara baada ya kusafiri kutoka Dodoma kuelekea Dar es salaam kwa…
TRA yajuoanga kutoa elimu Nanenane
Na Richard Mrusha, JamhuriMeia, Dodoma MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imejipanga kutatua kero za kikodi kwa wananchi waliokutana na changamoto mbalimbali. Kamishna Mkuu wa TRA Yusuph Mwenda amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na…