Category: MCHANGANYIKO
Makonda ahimiza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi Serikali za Mitaa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda amewahimiza wakazi wa Mkoa wa Arusha kuendelea kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la Mkazi ili kuweza kupata sifa za kushikiri kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadae Novemba 27…
DC Magoti atoa saa 24 kwa watuhumiwa wa utoroshaji korosho kilo 600, wajisalimishe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoani Pwani, Petro Magoti ametoa saa 24 kwa watu wanaodaiwa kukimbia na kuacha pikipiki wakiwa wanatorosha korosho kilo 600 kutoka Kisarawe wakielekea…
Kapinga ahamasisha wananchi Mbinga kujisajili Daftari la Wapiga Kura
📌 Awaasa kuchagua viongozi watakaowatumikia kwa weledi Naibu Waziri Nishati na Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Judith Kapinga amewahamasisha wananchi katika Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la…
Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson afungua Mkutano wa Mabunge Duniani Uswisi
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 14 Oktoba, 2024 amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa 149 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) uliofanyika katika Kituo…
Rais Samia awasihi wananchi kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa wananchi wote wenye sifa kuhakikisha wanashiriki katika uchaguzi muhimu wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba, 2024. Rais Samia amesema kuwa uchaguzi huo utatoa…