Category: MCHANGANYIKO
Wenye viwanda na waajiri nchini waaswa
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wenye viwanda na waajili wote nchini wametakiwa kufungua milingo ya kuwapatia vijana mafunzo kwa vitendo kwenye vyuo vya VETA. Rai hiyo imetolewa na Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Carolyne Nombo,wakati…
TMA yatoa utabiri wa mvua za msimu, matarajio ni mvua chini ya wastani hadi wastani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa mvua za msimu kwa kipindi cha Novemba 2025 hadi Aprili 2026, ikionyesha kuwa maeneo mengi yanayopata msimu mmoja wa mvua kwa mwaka yanatarajiwa…
TANESCO Ruvuma yaanza kampeni ya majiko ya nishati safi ya kupikia
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Ruvuma limeanzisha mpango wa kuwakopesha majiko wateja wapya wanaounganishia umeme na kufanya marejesho kupitia mfumo wa malipo ya LUKU ili kuwapa fursa ya kutumia nishati safi ya umeme….
TANROADS inaendelea na utekelezaji wa miradi ya bilioni 383/- Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Serikali inaendelea na Ujenzi wa Barabara ya Njia Nne (Dual Carriageway) 29km Kuanzia Uyole (Nsalaga) hadi Ifisi yenye urefu wa kilomita 29, mradi huo unatekelezwa na Mkandarasi M/s China Henan International Cooperation Group Co. Ltd…
Dk Samia : Tutajenga kingo mto Kanoni kukomesha mafuriko Bukoba
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi Serikali yake itakayoundwa endapo atachaguliwa kuingia madarakani mwakani, itatekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa kingo za kudumu katika Mto Kanoni, hatua…
Waziri Mkuu aelezwa faida za kilimo ikolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WADAU wa Kilimo Ikolojia nchini wamemueleza na kumuoneshaWaziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa faida za kilimo ikolojia katika kujenga taifa lenye jamii na mazingira endelevu. Waziri Mkuu Majaliwa amepata maelezo hayo baada ya kutembelea banda…