Category: MCHANGANYIKO
Mgombea urais kupitia CCM akiwa katika mkutano wa hadhara Kilosa
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan aliposhiriki Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu na Wananchi wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro waliofurika katika Uwanja wa Kilosa Mjini…
NACTVET yatoa ithibati kwa program tano za CBE
Na Mwandishi Wetu BARAZA la Taifa la Elimu na Ufundi Stadi (NACTVET), limezipatia Ithibati Program mpya tano za Chuo cha Elimu ya Biashara CBE kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi…
Serikali yaimarisha miundombinu ya CNG harakati za kuleta mapinduzi ya nishati
๐ Vibali vya ujenzi wa vituo vya CNG kutolewa haraka ili kuvutia wawekezaji. ๐ Taasisi za kifedha zashauriwa kutoa mikopo kwa wawekezaji kwenye sekta ya gesi ๐ Kituo cha Puma Tegeta kuwa kituo kikubwa zaidi cha CNG Jijini Dar es…
Gari, pikipiki, dhahabu, simu janja zaongeza msisimko katika mnada wa Piku
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUKWAA la kidigitali la PIKU linalojulikana kwa kuendesha minada ya kipekee na yenye ushindani wa hali ya juu, limetangaza kuja na bidhaa mpya na za kuvutia zitakazoshindaniwa na washiriki wake wote. Kwa mara…
Dk Nchimbi atua Mwanza kuomba kura kuelekea uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu,Mwanza Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amewasili Mkoa wa Mwanza Leo Agosti 29, 2025 kwa ajili ya Kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu. Balozi…
TAKUKURU Lindi yajiimarisha na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu thamani ya kura
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Lindi imetoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu yake kupitia programu ya TAKUKURU Rafiki, ikibainisha kuwa imefanikiwa kutatua kero mbalimbali zilizowasilishwa na wananchi, hususan kwenye sekta za elimu, afya, maji, nishati…