JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Mbeya awataka vijana wasomi kutumia elimu waliyopata kubuni miradi

Na Manka Damian, Jamhuri Media,Mbeya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa amewataka vijana wasomi kutumia elimu walizopata katika vyuo mbalimbali hapa nchini kubuni miradi na kuifanya bila ya kuwa na ulazima wa uwepo wa fedha ilimradi kama watakuwa waaminifu….

Serikali yatatua mgogoro wa mwekezaji na wachimbaji wadogo Ifumbo, Chunya-Mbeya

Ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo  Waziri Mavunde aelekeza Wanakijiji kupewa Leseni kuhalalisha uchimbaji wao Mwekezaji aruhusiwa kuendelea na uwekezaji kwa Leseni za eneo la Lupa Market Uchimbaji wa Eneo la Ifumbo wasimamishwa mpaka vibali…

Majaliwa : Serikali inatambua na kuthamini mchango mkubwa wa vyombo vya habari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Waandishi wa Habari nchini kutumia Akili Mnemba (Artificial Inteligence) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na sio kikwazo cha uhuru wao. Amesema kuwa katika dunia ya sasa, vyombo vya habari vinakutana…

Ukimya wetu unaliumiza Taifa

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tunaweza kujifanya hatuoni wala hatusikii. Tunaweza kujifanya yanayotokea na kuwapata Watanzania wenzetu ni yao wao, si yetu! Tunaweza, kwa upofu na utamu wa madaraka, tukadhani kuwa sisi ni chama tawala, na kwamba tutakuwa…

Kenya yasitisha matangazo ya kamari katika majukwaa yote ya mawasiliano

Bodi ya Udhibiti wa Kamari na Utoaji Leseni imesimamisha matangazo ya kamari kwenye majukwaa yote ya mawasiliano na vyombo vya habari kwa siku 30, na marufuku hiyo inaanza kutekelezwa mara moja. Mwenyekiti wa bodi hiyo, Jane Mwikali Makau, akisimamisha matangazo…

Mwalimu angekuwapo leo, angeitwa mhaini

Na Joseph Mihangwa, JamhuriMedia, Shinyanga “Waasi wa Serikali, wengi kuliko wa dini, wengi hawaendi kusali, lakini wana imani, ambayo kwamba kamili, bila kasoro moyoni. Kama haba ya adili, Serikali huwa chini, ikawa yatenda feli, za shari na nuksani, na dhuluma…