JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wakazi 359, 577 Kaliua wapata maji safi na salama

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Kaliua WAKAZI 359,577 wanaoishi katika vitongoji, vijiji na kata mbalimbali Wilayani Kaliua Mkoani Tabora wamenufaika na miradi ya maji iliyotekelezwa na serikali kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA). Hayo yamebainishwa jana na…

Wakulima washauriwa kupima udongo kabla ya kuanza kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katika kuadhimisha Siku ya Udongo Duniani, Idara ya Sayansi za Udongo na Jiolojia ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wanaagronomia Tanzania (Tanzania Agronomy Society – TAS) na Taasisi…

Serikali kuendelea kufanyakazi na wazabuni, wakandarasi nchini

N Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema itaendelea kufanya kazi kwa ukaribu na wazabuni wa ndani kwa lengo la kujifunza na kuona changamoto mbalimbali walizonazo na kisha kuzifanyia kazi. Hayo yameelezwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu…

Vyeti vya wafamasia vitumiwe na wahusika

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ametoa wito kwa wamiliki wa maduka ya dawa kuhakikisha vyeti vya wafamasia vinavyotumika kwenye maduka hayo vimeambatana na uwepo wa wahusika kwa kujiriwa katika maduka hayo. Akizungumza jana wakati wa…

Waziri wa Afya kuongoza uzinduzi Mradi wa Ustawi wa Watoto

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa afya nchini Dkt: Jenista Mhagama anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa ustawi kwa watoto wenye changamoto ya ugonjwa wa usonji. Mradi huo ambao umeandaliwa na taasisi…

Wathibiti ubora wa shule na vyuo wahimizwa kukaa mguu sawa elimu ya amali

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Wathibiti ubora wa shule za sekondari na vyuo nchini, wamehimizwa kukaa mguu sawa kuhakikisha elimu ya amali inatekelezwa ipasavyo kutokana na mafunzo wezeshi yaliyotolewa ili jamii na serikali ziweze kufikia malengo yao. Akizungumza wakati wa…