JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia achangia mil. 50/-, kufanikisha ujenzi wa shule, umaliziaji wa majengo ya Zahanati Simiyu

Na Mwandishi Wetu (OR – TAMISEMI,) Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha shilingi milioni 50, katika harambee ya kuchangia ujenzi wa shule ya msingi na umaliziaji wa majengo ya zahanati…

Sekta binafsi ya ulinzi yapongezwa kwa huduma bora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi limeeleza kuridhishwa na huduma bora inayotolewa na sekta binafsi ya ulinzi ambayo imesaidia kuendeleza usalama wa raia na mali zao hapa nchini. Mkuu wa Ushirikishwaji Jamii wa Jeshi la Polisi…

Nkuna wa Chadema afungiwa kuendesha gari

Na Mwandishi Wetu Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anayeshitakiwa kwa kosa ka kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa X kuwa ameshambuliwa na watu wasiojulikana mjini Iringa, Vitus Nkuna (29) amefungiwa leseni ya udereva kwa miezi sita. Akizungumza na…

Tamasha la Samia Fashioni Festive kuleta fursa kwa wabunifu mavazi

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es salaam Wabunifu wa mavazi nchini wameshauriwa kutumia fursa zinazojitokeza kuonesha kazi zao wanazozifanya ili waweze kujulikana na kuinuka kiuchumi. Ushauri huo umetolewa jana Dar es Salaam mwanzilishi na muandaaji wa Tamasha la Samia Fashion Festival Khadija…

Hezbollah yatoa onyo kali kwa Israel kufuatia ongezeko la mashambulizi

Kundi la Hezbollah limetoa onyo kali kwa Waisraeli kuwataka wakae mbali na maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel, hatua ambayo inalenga kuokoa maisha yao kutokana na mashambulizi yanayoendelea. Onyo hilo limekuja baada ya kuongezeka kwa mashambulizi ya Hezbollah katika eneo…