JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chuo cha VETA chaja na ufumbuzi za changamoto za jamii

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Ufundi Stadi VETA Dar es Salaam kimeendelea na kutoa mafunzo kwa vitendo na ubunifu zaidi ili kuleta ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili jamii ikiwemo malaria fangasi Akizungumza leo Desemba 2, 2024 jijini…

Tanzania yaomba ushirikiano kukabili ukame

Serikali ya Tanzania imetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kushirikiana kwa pamoja katika kulinda mifumo ikolojia ya dunia dhidi ya ukame ambao umeleta tishio kwa mazingira. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe….

Dk Biteko ataka watafiti, wabunifu ndani ya nchi watambuliwe kuleta maendeleo

📌 Azindua Kongamano la 9 Sayansi, Teknolojiana Ubunifu 📌 Asema Watafiti waendelezwe, wasivunjwe moyo 📌 Azindua Mfuko wa mikopo nafuu “SAMIA FUND” 📌 Norway Yaahidi kuendelea kufadhili utafiti wenye tija Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…

Abdul Nondo : Nikizungumza kilichotokea nitauliwa

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Abdul Nondo amedai kuwa ametishiwa kuuawa endapo atasimulia kilichotokea baada ya kutekwa na wateaji “Ukitoka hapa nenda moja kwa moja nyumbani kwako. Tunapajua vizuri na usizungumze kokote juu ya kilichotokea, pia tusikuone…

Madiwani Kenya watembelea TARI Tengeru kujifunza kilimo

Madiwani kutoka kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kilichopo Arusha kwa lengo la kujifunza shughuli zinazofanywa kituoni hapo ili kuweza kushauri Serikali nchini kwao kutokana na uzoefu wa kazi zinazofanyika nchini Tanzania. …

Wananchi washauriwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa kambi ya madaktari bingwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wapatao 32 wamewasili mkoani Njombe kwa kambi ya Siku tano (5) iliyoanza leo Desemba 2 hadi Desemba 6, 2024 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe. Akizungumza katika hafla…