Category: MCHANGANYIKO
Makamu wa Rais ashiriki mkutano SADC-EAC kuangazia hali ya Kongo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya…
Wafanyabiashara wampongeza Rais Samia kwa maboresho ya kodi na Sheria za Biashara
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAFANYABIASHARA Jiji la Dar es Salaam, wameeleza kufarijika na hatua za Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha mfumo wa kodi na sheria za biashara, wakisema zimesaidia kupunguza gharama na kuondoa changamoto zilizokuwa zikikwamisha…
Sajini (SGT) Noela Pallangyo atunukiwa nishani ya Umoja wa Mataifa
Sajini (SGT) Noela Pallangyo ametunukiwa nishani ya Umoja wa Mataifa kwa kutambua majukumu yake na katika huduma ya amani akiwa afisa wa Kitengo cha Polisi cha Kimataifa katika Misheni ya Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Sudan Kusini.
Katavi wampa heko Rais Samia Vijijini
Fursa lukuki za kiuchumi zaibuliwa Wananchi waeleza namna maisha yao yalivyobadilika Wananchi wa Kijiji cha Mapili Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kubadili maisha yao…
Norland Global Tanzania yang’ara Qatar
Na Mwandishi Wetu, Doha, Qatar Mkurugenzi Mtendaji na Daktari wa Norland Global Tanzania, Dkt Moses Makalla, amesema hapa kuwa amefurahishwa na mrejesho wa watumiaji wa dawa asili za kampuni yao hapa doha nchini Qatar. “Ukimpa mgonjwa dawa au tiba lishe…