Category: MCHANGANYIKO
Serikali yamaliza kero ya wagonjwa kusafirishwa kwenye matenga, baiskeli Namtumbo
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Wananchi wa vijiji vya Magazini, Sasawala, Amani na Likusanguse wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wameishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona umuhimu wa kuwaletea gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha afya cha…
Hotuba ya mwisho ya Papa Francis siku ya Pasaka 2025
Siku ya Pasaka, tarehe 20 Aprili 2025, ulimwengu ulisikiliza kwa makini hotuba ya mwisho ya Papa Francis, iliyojulikana kama “Urbi et Orbi” (kwa mji na kwa dunia). Ingawa afya yake ilikuwa dhaifu kutokana na kuugua nimonia, Papa Francis aliweza kuwabariki…
Wasira kunguruma siku tano Dodoma
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, kesho ataanza ziara ya kikazi mkoani Dodoma kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kuimarisha chama. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma …
Dorothy kupambana na Rais Samia
Baada ya kutangaza nia ya kugombea Urais, hatimaye Dorothy Semu amechukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Mipango na Uchaguzi Taifa Ndugu, Shaweji Mketo katika Ofisi za Makao Makuu ya…
RC Chalamila atoa onyo kwa wanasiasa wanaofanya mikutano Kariakoo
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche na wafuasi wake kukamatwa na Jeshi la Polisi maeneo ya Kariakoo wakifanya mkutano wa hadhara, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam, Albert Chalamila, amesema kuwa anaunga…