JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Jaffo: Watanzania watamchagua Samia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Kibaha Waziri wa Viwanda na Biashara na mgombea wa ubunge Jimbo la Kisarawe, Dk Selemani Jafo (CCM) amesema Watanzania watamchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ya maendeleo aliyofanya kwa miaka…

Tanzania Kyrgyzstan kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kyrgyzstan, Mhe. Zheenbek Kulubaev, wamesaini Tamko la Pamoja kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Muungano…

Ujumbe wa Malawi watemblea maonesho ya Nanenane ya teknolojia ya madini Geita

Na Mwandishi Wetu, Geita SHIRIKISHO la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA) limepokea mwaliko rasmi kutoka kwa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Malawi kushiriki katika Maonesho ya Kwanza ya Teknolojia ya Madini nchini humo, yanayotarajiwa…

Deodatus Balile apongeza matumizi ya nishati jua katika kilimo na uhifadhi wa mazao

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania Deodatus Balile amewaasa waandishi wa habari nchini kuongeza nguvu katika kuandika na kuripoti habari zinazohusu matumizi ya nishati ya jua hasa katika sekta ya kilimo na uhifadhi…

Samia kusaka kura Kibaha, Tanga

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan anatarajia kuendelea na kampeni zale cha uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mkoani Septemba 28,2025. Rais Samia kesho anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa katika uwanja…

Wananchi Magu waishukuru Serikali kuwapatia hati za hakimiliki za kimila

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Magu Wananchi wa vijiji vitatu vya Chandulu, Salama, Mwabulenga vilivyopo kata ya Ng’haya wilaya ya Magu mkoa wa Mwanza wameishukuru serikali kwa uamuzi wake wa kuwapimia na kuwamilikisha maeneo yao kwa kuwapatia Hati za Hakimilki za…