Category: MCHANGANYIKO
Wakili :CCM Inawatengenezea Polisi kwenda motoni
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Iringa Wakili Msomi na Mwenyekiti wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Deogratius Mahinyila amedai, Chama cha Mapinduzi (CCM) kinawatengenezea Polisi njia kwenda motoni. Mahinyila alisema hayo mwishoni mwa wiki kwenye ziara ya Chadema…
Wabunge wazidi kuvutiwa zaidi na utendaji kazi mzuri wa Bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeendelea kupokea sifa za utendaji mzuri wenye tija kwa taifa kutoka kwa kamati mbalimbali za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Taifa baada ya Kamati ya…
Sekta za uchukuzi, usafirishaji zatakiwa kuongeza ufanisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SEKTA ya Uchukuzi na Usafirishaji imetakiwa kushirikiana na kujadiliana mara kwa mara, ili iweze kuongeza tija na ufanisi kwa nchi. Mkutano huo mkubwa wa siku moja uliwakutanisha wadau wa sekta ya uchukuzi kwa njia…
Shirika la Msalaba Mwekundu lakasirishwa na mauaji ya madaktari Gaza
Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) limesema “limekasirishwa” kwamba madaktari wanane wa Kipalestina waliuawa pamoja na wahudumu sita wa Ulinzi wa Raia na mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa na vikosi vya Israeli kusini mwa…
Wasira : CCM haibishani na CHADEMA
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani…





