JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Sillo : Wananchi toeni taarifa sahihi kupunguza muda wa uhakiki wa vitambulisho vya NIDA

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Licha ya jitihada zinazofanywa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA kuhakikisha waliokidhi vigezo wanapata namba za Nida/ au vitambulisho kwa haraka lakini kumekuwa na changamoto ya baadhi ya watu kujisajili zaidi ya…

Serikali kuendelea kupokea maoni Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema ipo tayari kusikiliza maoni ya kila mmoja ili kuhakikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inakuwa halisi na shirikishi. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na…

Mchakato wa Dira 2050 waanza, AZAKI watoa maoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mh.Stanslaus Haroon Nyongo (Mb,)ameziomba Asasi za Kiraia (AZAKI) kufanya majadiliano ya pamoja badala ya kujikita kwenye ukosoaji, ili kujenga uelewa wa pamoja utakaofanikisha…

Dk Mpango: Tanzania inathamini ushirikiano wake na Marekani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inathamini ushirikiano uliopo na Taifa la Marekani ambao umetoa mchango katika maendeleo ya sekta mbalimbali. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akifanya mazungumzo ya kumuaga Balozi…