Category: MCHANGANYIKO
Mbaroni kwa kudaiwa kukutwa na kura bandia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Polisi mkoani Kigoma imemtia mbaroni mtu mmoja anayetuhumiwa kukutwa na karatasi za kupigia kura akiwa na nia ya kuziingiza kwenye kituo cha kupigia kura ili ziingizwe kwenye boksi la kura. Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma,Filemon…