JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Zaidi ya bilioni 107/- zakamilisha usambazaji umeme vijijini Simiyu

📌Kapinga asema sasa Serikali inapeleka umeme kwenye Vitongoji 638 📌Ataja miradi ya kuimarisha umeme Simiyu 📌 Simiyu yapata mitungi ya gesi 16,275 kwa bei ya ruzuku Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia…

Rais Samia awataka wazazi Simiyu kusomesha watoto

Na Berensi China, JamhuriMedia, Simiyu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wazazi nchini kuwapa fursa ya kupata elimu vijana ili waweze ujuzi na kujiajri kutokana na serikali kuwekeza kwa kujenga Shule za Msingi, Sekondari…

Tume ya Madini yazidi kunadi fursa za uwekezaji katika sekta ya madini

Tume ya Madini imeendelea kunadi fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya madini kupitia ushiriki wake kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Akizungumza wakati wa kutoa elimu kwa wananchi waliotembelea…

EWURA yajidhatiti kutoa Huduma Bora kwa Umma katika Wiki ya Utumishi wa Umma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2025, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesisitiza dhamira yake ya kutoa huduma bora, zenye kuzingatia weledi, uwazi, uwajibikaji na matumizi bora ya teknolojia kwa…