JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wilaya 108 zafikiwa huduma za mawasiliano

Na Mwandishi Wetu, Kibaha WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema jumla ya wilaya 108 nchini zimefikiwa na ujenzi wa miundombinu ya Mkongo wa Taifa hatua ambayo imesaidia kurahisisha mawasiliano ya data hususani maeneo ya vijijini. Naibu Waziri wa…

Naibu Waziri Kundo aongoza kikao kazi na watumishi sekta ya maji Pwani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani NAIBU Waziri wa Maji, Kundo Mathew (Mb) ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili katika Mkoa wa Pwani yenye lengo la kuangalia njia bora za kuboresha huduma ya maji katika Mkoa huo. Kundo ameeleza dhumuni…

Juma Burhan: Mifumo ya kidijitali itaongeza uwazi, uwajibikaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar MKURUGENZI Mtendaji Wakala wa Uwezeshaji Wannachi Kiuchumi (ZEEA), Juma Burhan amesema kuwa uwepo wa mifumo ya kidijitali katika wakala huo na taasisi zote za serikali nchini itaongeza uwazi na uwajibikaji. Burhan ameyasema hayo jana visiwani…