JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bilioni 3 za umwagiliaji kunufaisha zaidi ya wakulima 490 skimu ya Mkotamo Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma MKUU WA WILAYA ya Tunduru Simon Chacha,amepongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji(NIRC), kwa uwekezaji wa zaidi ya shilingi bilioni 3 kwaajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya Umwagiliaji katika skimu ya Mkotamo, wilayani Tunduru Mradi…

Sababu watu kujiua hizi hapa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wimbi kubwa la watu kuamua kujitoa uhai lililoikumba jamii katika siku za hivi karibuni linadaiwa kutosababishwa na matatizo ya afya ya akili; JAMHURI linaripoti. Utafiti wa Hospitali ya Afya ya Akili ya Milembe…

Tujipange, Tumalize Uchaguzi Mkuu, tuanze mchakato wa Katiba Mpya

Askofu Mkuu Nkwande: “Mahangaiko na taharuki! Watu hawajui, hivi Tanzania tuliyokuwa nayo tutaendelea kuwa nayo?” Butiku: “Tumalize Uchaguzi Mkuu, tuanze mchakato wa Katiba mpya huku tukijadili hali ilivyo nchini kwa sasa.” Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Askofu Mkuu…

Kampeni ya Kisheria ya Mama Samia yanufaisha maelfu magerezani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Jeshi la Magereza limesema kampeni ya kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, imeleta manufaa makubwa kwa wafungwa na mahabusu zaidi ya 12,000 katika magereza mbalimbali nchini. Kati ya waliofikiwa na kampeni hiyo, mahabusu…

Wananchi watakiwa kuchangamkia biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetoa wito kwa sekta binafsi na wananchi kwa ujumla kuendelea kuchangamkia fursa za uwekezaji katika biashara ya kaboni ili kuinua uchumi na kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti na kuitunza. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…