JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Nchemba afungua mafunzo ya Kamati ya PAC

Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yanayohusu Usimamizi wa Fedha za Umma, yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kupitia…

Tanzania kushirikiana na Italia kuendeleza sekta ya madini

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejipanga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na Italia katika kuendeleza sekta ya madini, hususan kwa kutumia teknolojia na mitambo rafiki kwa mazingira. Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde (Mb), amesema hayo tarehe 06 Januari…

MSD yapongezwa kwa maboresho ya huduma mkoani Kagera

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuimarisha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya mkoani Kagera, ambao umepunguza malalamiko ya upungufu wa bidhaa za afya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa hapo jana tarehe 6/1/2025 na…

Ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu, vyama andaeni sera

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bunda Naandika makala hii nikiwa safarini wilayani Bunda. Nimekuja Bunda si matembezini, bali kumzika mwanaparokia mwenzetu, ambaye alikuwa Mweka Hazina wa Parokia yetu ya Roho Mtakatifu Kitunda, ambako mimi ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Walei. Ndugu…

Mrithi wa Kinana kupatikana Januari 19

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma BAADA ya kimya cha muda mrefu kuhusu nani anachukua nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) jibu limepatikana ambapo anatarajiwa kupatikana kati ya January 18 au 19 mwaka huu. Hatua hii ni…