Category: MCHANGANYIKO
Mpango wa Usawa wa kijinsia 2021–2027 wapewa msukumo mpya, Serikali yasisitiza haki sawa kwa wote
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa matakwa ya kikatiba ya usawa wa kijinsia yanatafsiriwa kwa vitendo katika nyanja zote za maisha, ikiwa ni pamoja na elimu, ajira, uongozi na mifumo ya sheria. Haya yamebainishwa leo Mei 29,2025 Jijini hapa…
China yakasirishwa na mpango wa Marekani kwa wanafunzi wake
China imekasirishwa na hatua ya serikali ya Marekani kuapa kubatilisha visa za wanafunzi wa China walioko Marekani, ikiita hatua ya Rais Donald Trump kuwa ya kisiasa na kibaguzi. Awali Marekani ilisema itaondoa nafasi ya wanafunzi hao kuomba visa za kuingia…
Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme vitongojini
📌 Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme 📌 Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji 📌 Mkurugenzi Mkuu REA atakiwa kumsimamia kwa karibu Mkandarasi wa miradi ya Vitongoji Ziwa Tanganyika…
Waandishi wa habari, AZAKI wajengewa uwezo masuala ya uwajibikaji
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dodoma Taasisis za WAJIBU na Policy Forum, wamezindua mradi wa raia makini kwa kuwajengea uwezo wanahabari na AZAKI katika suala la uwajibikaji kwenye usimamizi wa fedha za umma ili waweze kushiriki kikamilifu katika kudai uwazi na…





