Category: MCHANGANYIKO
Wamiliki vituo vya kulelea watoto washauriwa kuwapeleka wafanyakazi Chuo cha Ustawi wa Jamii
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wameshauriwa kuwapeleka wafanyakazi wao katika Chuo cha ustawi wa jamii kampasi ya Kisangiro wilayani Mwanga ili wakajifunze mbinu bora za malezi ya watoto wadogo na kuwezesha kuwa na watoto…
Tanzania yashiriki mkutano wa mawasiliano ya simu Hispania
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry William Silaa , ameshiriki katika Mkutano wa Dunia wa Masuala ya Mawasiliano ya Simu (Mobile World Congress 2025) unaofanyika kuanzia tarehe 3 – 5 Machi 2025 katika mji wa…
Rais Samia Tanga, Lissu na ‘…No election’
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita kuna matukio mawili makubwa ambayo yametokea na nadhani kwa uzito wake yanipasa niyaandike katika makala hii. Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya ziara ya kihistoria jijini Tanga. Ameangalia miradi…
Rais wa Bunge la Cuba awasili nchini Tanzania
Rais wa Baraza la Taifa na Bunge la Jamhuri ya Cuba, Mhe. Esteban Lazo Hernandez, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam Mhe. Hernandez amepokelewa…
Tanzania yatambua mchango wa Uswisi
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuwa Tanzania inatambua mchango mkubwa wa Serikali ya Uswisi katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii tangu nchi hizo mbili zilipoanza uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi…
Asilimia 69 ya maduhuli yakusanywa ndani ya miezi 8
• Watanzania 19,371 wapata ajira migodini • Thamani ya mauzo migodini yafikia 91.68 Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma TUME ya Madini imefanikiwa kukusanya Shilingi 690, 763, 401,639.06 ndani ya miezi nane sawa na asilimia 69.08 ya lengo la mwaka wa…





