Category: MCHANGANYIKO
EWURA yakabidhi msaada vya vifaa vya umwagiliaji kwa kikundi Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na maji (EWURA), imekabidhi vifaa vya umwagiliaji maji ikiwemo tenki lenye ujazo wa lita 5000,mabomba, mipira pamoja na vifaa vitakavyotumika kufunga vifaa hivyo vyote vikiwa na thamani ya…
TANESCO, EWURA imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme – Kapinga
📌 Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka…
Waziri Chana afungua onesho la Wiki ya Ubunifu la Italia jijini Dar
• Aipongeza Italia kwa mashirikiano katika sekta ya utalii Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amefungua rasmi Onesho la Wiki ya Wabunifu wa Italia linaloonesha picha za wabunifu mbalimbali…
Zitto azungumzia kesi zinazopinga uchaguzi mitaa
KIONGOZI mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amehudhuria muendelezo wa kesi zinazopinga matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, zilizofunguliwa na chama hicho katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika Mahakama ya…
Wasira :CCM itashika dola kwa kura si bunduki
*Asema wamejipanga kuendelea kuwatumikia wananchi*Awashangaa wanaohoji CCM kukaa madarakani muda mrefu Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kutokana na wingi wa kura…





