Category: MCHANGANYIKO
Wamuua ndugu yao na kumfukia kwenye shimo nyumbani kwake
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili Fredy Rajab Chaula na Bashiru Richard Chaula kwa tuhuma za kula njama ya mauaji ya Regina Rajab Chaula (62) mkazi wa…
Jafo aagiza jengo la Metrolojia CBE likamilike kwa wakati
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo amemwagiza mkandarasi kampuni ya LI JUN Construction ya China anayejenga jengo la Metrolojia la Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kukamilisha kwa wakati na kwa ubora…
Uhusiano baina ya Tanzania, Czech kung’ara
Uhusiano wa kiuchumi baina ya mataifa umeelezwa kuwa ndio uhusiano imara na bora zaidi ukilinganisha na nyanja nyingine za uhusiano duniani kwa sasa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo…
Wazazi jamii ya kifugaji wamuomba Waziri kuingilia kati sakata la kuchukuliwa kwa watoto wao kinyemela
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wazazi wa jamii ya Kimasai wamemuomba Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum , Dorothy Gwajima, kuingilia kati kitendo cha watoto wao kuchukuliwa kinyemela kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita kwa kuahidiwa…
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wajumbe wote wa kikao hiki ni 1928, wajumbe waliopata dharura ni 4 pekee, hivyo wajumbe waliodhuria ni 1924 ndani ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Conventional Centre. Hatua hii inadhihirisha uimara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa na idadi kubwa…





