JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majaliwa: Samia ametuondolea changamoto Ruangwa

Na Kulwa Karedia,JamhuriMedia,Ruangwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasimu amesema changamoto nyingi zilizokuwepo ndani ya Wilaya Ruangwa zimepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na Rais Samia Suluhu Hassan kupeleka fedha nyingi katika sekta mbalimbali. Majaliwa ametoa kauli hiyo Septemba 24,2025 katika uwanja wa…

Tume ya Madini yavunja rekodi ya upimaji sampuli kwa mwaka 2024/2025

Maabara ya Tume ya Madini imevuka lengo la upimaji sampuli za madini kwa mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2024/2025, baada ya kupima jumla ya sampuli 7684 dhidi ya lengo la 6,800. Hili ni ongezeko linaloashiria ufanisi mkubwa wa maabara…

Dk Samia ashiriki sala fupi na kuweka shada la maua kaburi la hayati Mkapa

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki sala fupi na kuweka shada la maua katika kaburi la Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa. Dkt. Samia kabla ya kushirki sala…

Aliyejaribu kumuua Trump apatikana na hatia

Ryan Routh amepatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais Donald Trump kwenye uwanja wa gofu wa Florida Septemba mwaka jana. Mahakama ilimpata Routh, 59, na hatia ya mashtaka yote, ikiwa ni pamoja na jaribio la mauaji ya mgombea mkuu wa…

Dk Mpango awavutia wawekezaji wa Marekani kuja kuwekeza Tanzania kupitia PPP

Na Mwandishi Maalum, New York Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango, ametoa mwito wa kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Serikali na wawekezaji binafsi, akisisitiza kuwa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) ni nguzo muhimu ya kufungua fursa…

SUA wamuokoa mtoto wa tembo aliyenasa na mtego Pori la Kilombero

Timu ya wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ikiongozwa na Dkt. Richard Samson, imefanikiwa kuokoa mtoto wa tembo aliyenaswa na mtego kando ya Mto Ruhidgi, katika Pori la Akiba la Kilombero, Wilaya ya Malinyi, Morogoro.  Mtego huo,…