JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mavunde awakaribisha wawekezaji wa madini kutoka Finland kuwekeza nchini Tanzania

▪️Ampongeza Rais Samia kwa kuboresha mazingira ya Biashara nchini ▪️Wavutiwa na uwepo wa Rasilimali madini za kutosha ▪️Finland yaiahidi Tanzania ushirikiano kwenye utafiti wa madini 📍 Dar es Salaam Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde amewakaribisha jumuiya ya wa Wafanyabiashara…

Bilioni saba kumtua mama ndoo kichwani wilayani Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Serikali imewekeza zaidi ya sh. bilioni saba katika miradi ya maji wilayani Mafia, miradi ambayo inatekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA ili kupunguza kero ya ukosefu wa maji safi na…

DAWASA taasisi ya nfano utekelezaji maagizo ya viongozi -DC Bulembo

Ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kufikisha Majisafi Kigamboni Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa kutekeleza kwa wakati…

Nape awataka wagombea kufanya kampeni zenye tija

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Nape Moses Nnauye amewataka wagombea wa nafasi ya mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa kufanya kampeni zenye tija na kuchochea maendeleo. Akizungumza leo Novemba 20 2024 mjini Sumbawanga Nape Moses Nnauye…

Haiti : Marekani yataka kikosi cha Kenya kugeuzwa kuwa cha walinda amani wa UN

Nchi ya Marekani, sasa inataka polisi wa Kenya waliotumwa nchini Haiti kwenda kusaidia idara za usalama za nchi hiyo kukabiliana na makundi yenye silaha, kigeuzwe na kuwa kikosi kamili cha kulinda Amani cha umoja wa Mataifa. Pendekezo hili licha ya…

DED Mji Kibaha akutana na wamiliki na wafanyabiashara vituo vya mafuta

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ,Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufanyabiashara kihalali na kulipa Kodi ya Serikali kwa wakati. “Nawasihi sana,nipeni ushirikiano ili sote tukishirikiana…