Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia afungua kiwanda cha kuchakata pamba Maswa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha kuchakata pamba cha Shree Rajendra Agro Industries Limited kilichopo Maswa mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025.
Umoja wa Afrika waridhishwa maandalizi uchaguzi Tanzania
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kuahidi kuwa uchaguzi huo utafanyika kwa haki, uhuru na amani. Misheni hiyo ya tathmini kabla ya uchaguzi (Pre-election…
Wizara ya Fedha yatoa elimu ya usimamizi wa mnyororo wa ugavi kwa wahariri wa vyombo vya habari
Josephine Majura na Joseph Mahumi, WF, Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Fedha, imefanya mafunzo kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya usimamizi wa mnyororo wa ugavi katika sekta ya umma. Akizungumza wakati akifungua…
Oktoba kura zote kwa Rais Samia – Ummy Mwalimu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Kazi nzuri na miradi tele ya maendeleo iliyotekelezwa katika Jimbo la Tanga Mjini imetengeneza deni kwa wananchi wa Tanga Mjini dhidi ya Rais Dk. Samia Suluhu ambaye pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano…