Category: MCHANGANYIKO
Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameungana na wananchi wa mkoa huo katika zoezi la kupiga kura mapema oktoba 29,2025, akisisitiza hali ni shwari na ulinzi na usalama imeimarishwa. Aidha Kunenge ameeleza, wananchi…
Dk Samia : Serikali imefanya mageuzi makubwa ya kisheria na kurejesha imani kwa sekta binafsi
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake imefanikiwa kufanya mageuzi makubwa ya kisheria na kimfumo yaliyolenga kujenga mazingira bora ya biashara na kurejesha imani…
Serikali yaihakikishia CWP uchaguzi huru, haki na wazi
Serikali imeihakikishia Timu ya Waangalizi ya Uchaguzi ya Wabunge-Wanawake kutoka Jumuiya ya Madola (CWP) kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa huru, haki na wazi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mambo…
Wasira asema Samia ameweka utaratibu Serikali,vyama vya siasa kuteta
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameweka utaratibu mzuri wa Serikali na vyama vya siasa kusikilizana. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wakati wa kuhitimisha mkutano wa…





