JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mradi wa bilioni 60/-kuleta mapinduzi ya huduma za usafiri Ziwa Victoria

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Serikali ya Tanzania imewekeza Sh60 bilioni kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Erasto Lugenge aliwaambia wandishi wa habari waliotembelea bandari za Bukoba na Kemondo kuwa uwekezaji huu mkubwa katika…

Serikali kuthamini taaluma ya wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi

Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Serikali imesema itaendelea kuthamini taaluma ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji majenzi kwa kuwapatia tenda za miradi zinazojitokeza ili wasivunjike moyo waendelee kuwa wazalendo na nchi yao. Hayo yamesemwa na Oktoba 29,2024 Jijini Dar es Salaam…

Wadau wakutana Arusha kujadili bima ya afya kwa wote

Kongamano kuhusu Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote na Mdahalo wa Kitaifa kuhusu Mpango wa Ufadhili wa Sekta ya Afya yanafanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha jijini Arusha kuanzia tarehe 29 na 30 Oktoba 2024 na…

Vijiji vyote Newala vimefikiwa na umeme – Kapinga

📌 Asisitiza dhamira ya Serikali ni kupeleka umeme maeneo yote Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Vijiji vyote 76 vya Jimbo la ya Newala Vijijini Mkoa wa Mtwara vimefikiwa na huduma ya umeme kwa umbali wa kilometa 1. Mhe….

Watahiniwa 974,229 wafaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, 61 wafutiwa matokeo yao

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya watahiniwa 974,229 kati ya 1,204,899 waliofanya mtihani ambao nisawa na asilimia 80.87 ya watahiniwa wenye matokeo wamefaulu mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi 2024. Aidha Baraza la Mitihani Tanzania limefuta matokeo…