JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kafulila : Kampuni ya COVEC ya China kumaliza kero ya foleni Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali inafanya mazungumzo na kampuni ya China Overseas Engineering Group Co. Ltd. (COVEC) ambayo imeonesha nia kuwekeza Dola za Marekani bilioni 1 (zaidi ya Shilingi trilioni 2.7) kujenga barabara zenye lengo la kupunguza…

3,000 washiriki uzinduzi kampeni ya Tuwaambie kabla hawajaharibika Arusha

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limezindua kampeni ya tuwaambie kabla hawajaharibiwa kwa lengo la kuongea na wanafunzi kuanzia elimu ya awali hadi vyuo vikuu kwa ajili ya kuwaelimisha juu ya kujitambua ili kujiepusha…

Mifumo ya taasisi saba imeanza kusomana

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika mwaka 2023/24, Kituo cha Uwekezaji kimekamilisha ujenzi wa Mfumo wa Kielektroniki wa Kuhudumia Wawekezaji (Tanzania Electronic Investment Window – TeIW) kwa awamu ya kwanza ambao ulizinduliwa Septemba, 2023. Mfumo huo umeunganishwa na…

Polisi jela maisha kwa kusafirisha mirungi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mrakibu Msaidizi wa Polisi kituo cha polisi Usa wilayani Arumeru mkoani Arusha, F 21639, John Peter Shauri amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kukutwa na hatia ya shtaka la uhujumu uchumi la kusafirisha dawa za…

Mradi utafiti mafuta, gesi wafikia asilimia 40

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema Mradi wa Utafiti wa Mafuta ghafi na gesi kwenye Bonde la Eyasi Wembere lililopo katika mikoa ya Simiyu, Singida na Arusha utekelezaji wake umefikia asilimia 40. Mradi huo unaotekelezwa kwa fedha za…

Magonjwa yasiyoambukiza yamekuwa tishio nchini – Mhagama

N a WAF – Bugando, Mwanza Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ili kuepuka kupata magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo saratani, kisukari na shinikizo la juu la damu kwa kuwa magonjwa hayo yamekuwa yakiongezeka kila mwaka. Waziri wa Afya Mhe. Jenista…