JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yaimarisha miundombinu ya CNG harakati za kuleta mapinduzi ya nishati

📌 Vibali vya ujenzi wa vituo vya CNG kutolewa haraka ili kuvutia wawekezaji. 📌 Taasisi za kifedha zashauriwa kutoa mikopo kwa wawekezaji kwenye sekta ya gesi 📌 Kituo cha Puma Tegeta kuwa kituo kikubwa zaidi cha CNG Jijini Dar es…

Gari, pikipiki, dhahabu, simu janja zaongeza msisimko katika mnada wa Piku

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUKWAA la kidigitali la PIKU linalojulikana kwa kuendesha minada ya kipekee na yenye ushindani wa hali ya juu, limetangaza kuja na bidhaa mpya na za kuvutia zitakazoshindaniwa na washiriki wake wote. Kwa mara…

Dk Nchimbi atua Mwanza kuomba kura kuelekea uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu,Mwanza  Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama cha mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amewasili Mkoa wa Mwanza Leo Agosti 29, 2025 kwa ajili ya Kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.  Balozi…

TAKUKURU Lindi yajiimarisha na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu thamani ya kura

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Lindi imetoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu yake kupitia programu ya TAKUKURU Rafiki, ikibainisha kuwa imefanikiwa kutatua kero mbalimbali zilizowasilishwa na wananchi, hususan kwenye sekta za elimu, afya, maji, nishati…

‘Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea urais CCM haukufuata wanajitoa ufahamu’

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amejitokeza hadharani kuwajibu wanaodai kuwa utaratibu wa kumpata Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 haukufuata taratibu, akiwataka…

INEC yaondoa fomu za uteuzi wa Wagombea urais

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) Ramadhani Kailima ameongoza watumishi wa Tume hiyo kuondoa fomu za uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ubao wa matangazo…